Msafara wa Wabunge wa Mkoa wa Pwani na RAS umepata ajali Bagamoyo - Kerege magari mawili yamegongwa na Lori , Gari na Mkurugenzi wa Bagamoyo na Gari la TASAF Bagamoyo madereva wote wawili wa hizo gari wamefariki hapo hapo na Afisa Mipango nae amefariki. Majeruhi wamekimbizwa Muhimbili hali mbaya
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ke...
5 weeks ago