Recent Posts

PropellerAds

Monday, March 21, 2016

msafara wa wabunge wa mkoa wa pwani wapata ajali

Msafara wa Wabunge wa Mkoa wa Pwani na RAS umepata ajali Bagamoyo - Kerege magari mawili yamegongwa na Lori , Gari na Mkurugenzi wa Bagamoyo na Gari la TASAF Bagamoyo madereva wote wawili wa hizo gari wamefariki hapo hapo na Afisa Mipango nae amefariki. Majeruhi wamekimbizwa Muhimbili hali mbaya