Recent Posts

PropellerAds

Sunday, March 20, 2016

Vikosi vya Kenya na al-Shabab vyapigana

Kumekuwa na mapigano kati ya wanajeshi wa kenya na
wanamgambo wa al-Shabaab katika eneo la Lower Juba
nchini Somalia.
Kuna ripoti za kukanganya kuhusu maafa.
Wanajeshi wa Kenya wanasema kuwa walivisiwa lakini
wakafanikiwa kuwaua wanamgabo 21 licha ya wao
kupoteza wanajeshi wawili.
Al-Shabab nao wanadai kuwa waliwaua wanajeshi 20
wa Kenya wakawakamata wawili na kuharibu magari yao
sita.
Mapigano hayo yalitokea kwenye barabara inayoelekea
mji wa Afmadow ambapo wanajeshi wa kenya waliwaua
wanamgambo 19 wa al-Shabab siku ya Jumatano.

Related Posts:

  • How to Get Your Mind Back on Track How are you feeling? What’s on your mind? These are very important questions, not just polite conversation starters. They’re questions we should ask ourselves (and others) frequently because they tell us what direction our … Read More
  • ‘Just Have More Faith’ Why does God answer yes to some prayers and no to others? Why does God miraculously heal some people and not others? Why does disaster strike one city and not another? I’ve been pondering these questions since Hurricane Flo… Read More
  • What Is Our Victory? Article by  Dave Zuleger Pastor, When was the last time a trial came so swiftly and forcefully that you did not know what to do? My wife has lived in chronic pain for eight years. Recently, however, she woke … Read More
  • What Does It Really Mean to Be #Blessed? Feeling blessed is in vogue. A quick look at Facebook and Twitter shows how many people today feel #blessed. In our social-media world, saying you’re blessed can be a way of boasting while trying to sound humble. College s… Read More
  • Only the Humble See Heaven Why is humility so important to God? I mean, it’s really, really important to him. Listen to the kinds of things Jesus said: Whoever would be great among you must be your servant, and whoever would be first among you must … Read More