Recent Posts

PropellerAds

Sunday, March 20, 2016

Mwandishi wa DW aliyetoweka apatikana

Mwandishi aliyewakilisha kituo cha redio cha Sauti ya
Ujerumani (Deutsche Welle) visiwani Zanzibar Salma
Said na ambaye alitoweka Ijumaa, amepatikana.
Kamanda wa polisi wa Dar Simon Siro amethibitisha
kupatikana kwa mwanahabari huyo.
BBC imezungumza na Mume wa Salma Said, Bw Ali
Salim Khamis, ambaye amesema kwa sasa Salma yumo
anatoa maelezo kwa polisi Dar es Salaam.

Related Posts:

  • Miili ya wahamiaji yapatikana:Libya Taarifa kutoka Libya zinasema kuwa miili ya watu wanaodaiwa kuwa ni wahamiaji, imepatikana ikiwa imetapakaa katika mwambao wa bahari karibu na mji wa Zuwara. Baadhi ya taarifa zinasema zaidi ya miili 85 imeonekana ikiwa… Read More
  • Wataka sheria ya talaka kufutwa India Wanaume na wanawake 50,000 wamesaini azimio la kushinikiza serikali ya India kufutilia mbali sheria ya kutumia neno Talaq, mara tatu kwa misingi ya kuvunja ndoa. Kwa sasa wanaume Waislamu wanaweza kuwataliki wake zao kwa… Read More
  • MAGAZETI YA LEO JUNE 3. Read More
  • Dawa zilimuua Prince:Madaktari Uchunguzi wa kidaktari kutoka jimbo la Minnesota nchini Marekani umebaini kuwa mwanamuziki Prince alikufa kutokana na kuzidisha kiwango cha dawa. Kwa mujibu wa madaktari waliofanya uchunguzi huo wa kifo cha mwanamuziki… Read More
  • Leadership: Not If, But WhatInfluence can be positive or negative, but it cannot be absent or neutral. There's an old saying that goes: “Lead, follow, or get out of the way!” This assumes that a person can exert a… Read More