Mwandishi aliyewakilisha kituo cha redio cha Sauti ya
Ujerumani (Deutsche Welle) visiwani Zanzibar Salma
Said na ambaye alitoweka Ijumaa, amepatikana.
Kamanda wa polisi wa Dar Simon Siro amethibitisha
kupatikana kwa mwanahabari huyo.
BBC imezungumza na Mume wa Salma Said, Bw Ali
Salim Khamis, ambaye amesema kwa sasa Salma yumo
anatoa maelezo kwa polisi Dar es Salaam.
Wanafunzi Kapeta,Kiwira warithishwa ari ya utunzaji mazingira
-
Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), kwa kushirikiana na Shirika la
Utangazaji la Tanzania (TBC), wameendesha zoezi la upandaji miti katika
Shule ya msi...
9 hours ago