Recent Posts

PropellerAds

Sunday, March 20, 2016

Mwandishi wa DW aliyetoweka apatikana

Mwandishi aliyewakilisha kituo cha redio cha Sauti ya
Ujerumani (Deutsche Welle) visiwani Zanzibar Salma
Said na ambaye alitoweka Ijumaa, amepatikana.
Kamanda wa polisi wa Dar Simon Siro amethibitisha
kupatikana kwa mwanahabari huyo.
BBC imezungumza na Mume wa Salma Said, Bw Ali
Salim Khamis, ambaye amesema kwa sasa Salma yumo
anatoa maelezo kwa polisi Dar es Salaam.