Recent Posts

PropellerAds

Monday, March 21, 2016

Wasubiri matokeo Benin, Cape Verde, Congo, Niger, Senegal

Kiongozi wa upinzani ambaye pia ni mwekezaji, Patrick
Talon anatarajiwa kushinda uchaguzi wa Urais nchini
Benin, baada ya kumshinda Waziri Mkuu Lionel Zinsou.
Matokeo kamili yanatarajiwa kutolewa baadaye leo,
Waziri Mkuu Zinsou amempongeza mpinzani wake.
Bwana Talon anachukua hatamu ya uongozi kutoka kwa
Rais Thomas Boni Yayi ambaye amemaliza mihula
miwili.
Katika visiwa vya Cape Verde, chama cha upinzani
MPD kimepata viti vingi zaidi vya ubunge. Visiwa hivyo
vitafanya Uchaguzi wa Urais baadaye mwaka huu.
Katika nchi za Niger na Congo- Brazaville wapiga kura
wanasuburi matokeo ya uchaguzu mkuu.
Nchini Senegal matokeo ya kura ya maoni yanatolewa
kuhusu marekebisho ya katiba ikiwemo kupunguza muhula
wa Rais kutoka miaka saba hadi mitano.

Related Posts:

  • Mugabe asema kuwa haondoki madarakaniRais wa Zimbabwe Robert Mugabe amesema kuwa yeye sio Mmarekani wala Muingereza wakati akiwahutubia karibu watu 50,000, wafuasi wake kwenye mkutano uliofanyika kwenye mji mkuu Harare kwa heshima yake. Mugabe mwenye umri wa mia… Read More
  • Rais Obama atembelea mji wa HiroshimaRais Barrack Obama amekuwa rais wa kwanza aliye mamlakani nchini Marekani kutembelea mji wa Hiroshima tangu shambulio la nuklia wakati wa vita vya pili vya dunia. Obama amesema kuwa kumbukumbu za tarehe 6 mwezi Agosti 1945 ha… Read More
  • Mwanafunzi kutoka Nigeria apigwa India Wizara ya mambo ya nje nchini India inasema imeitisha taarifa kutoka kwa maafisa wa jiji la Hyderabad baada ya mwanafunzi kutoka Nigeria kushambuliwa Jumatano. Mwanafunzi huyo alitibiwa hospitalini na baadaye kuruhusiwa … Read More
  • Waliobadili jinsia kutumia vyoo watakavyo Majimbo kumi na moja ya Marekani yanaushtaki utawala wa Rais Barack Obama, dhidi ya agizo lake kwamba shule za umma lazima wanafunzi waliobadili jinsia kuchagua vyoo vya kutumia. Utawala huo umetishia kutotoa fedha za s… Read More
  • Kenya yasisitiza kuzifunga kambi za wakimbizi Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amesema kuwa hatobadili uamuzi wake wa kuifunga kambu kuu ya Dadaab,makao ya zaidi ya raia 300,000 wa Somalia. Taarifa kutoka afisini mwake inasema kuwa amemuambia naibu katibu mkuu wa Umoja … Read More