Recent Posts

PropellerAds

Tuesday, May 17, 2016

Ajitangaza twitter baada ya kukosa kazi


Ujumbe uliowekwa kwenye mtandao wa twitter nchini Afrika Kusini unaonekana kupata umaarufu wakati nchi hiyo inapokumbwa na viwango vikubwa vya ukosefu wa ajira.
Picha ya mwanafunzi aliyefuzu chuo Anthea Malwandla imesambazwa kwa zaidi ya mara 1500 licha na picha hiyo kukosa kusababisha apate ajira.
Anasema kuwa alifuzu kutoka chuo cha teknolojia cha Vaal na amekuwa akitafuta kazi kwa mwaka mmoja sasa.
Wiki iliyopita takwimu zilionyesha kuwa viwango vya ukosefu wa ajira ni asilimia 26.7, ikiwa ni asimia 12 zaidi mwaka huu.

Related Posts:

  • Mwanamke mkongwe zaidi duniani afariki New York Mwanamke aliyetambuliwa kuwa mkongwe zaidi duniani ameaga dunia akitibiwa jijini New York, Marekani, madaktari wamesema. Susannah Mushatt Jones, amefariki akiwa na umri wa miaka 116 Alizaliwa eneo la mashambani jimbo la Al… Read More
  • Korea Kaskazini 'inaihami DR Congo'Ripoti ya siri ya wataalamu wa Umoja wa mataifa ilioonekana a shirika la habari la Reuters inaarifu kuwa maafisa kadhaa katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo wamesema kuwa Korea kasakzini imewapatia wanajeshi na polisi ba… Read More
  • Twitter ya mtumbua jipu Mwanamuziki Mwanamuziki wa mtindo wa Rap Azealia Banks amepigwa marufuku na mtandao wa Twitter. Nyota huyo wa 212 amezuiliwa kuingia katika mtandao huo kufuatia hatua yake ya kutumia mtandao huo kumtusi msanii Zayn Malik. Ameshtumiwa k… Read More
  • Mwanamume 'adandia' helikopta Bungoma Kenya Mwanamume mmoja katika mji wa Bungoma, Magharibi mwa Kenya ameshangaza wengi baada ya kudandia helikopta ambayo imepaa na kuondoka naye. Helikopta hiyo ilikuwa imesafirisha mwili wa mfanyabiashara mashuhuri Jacob Juma a… Read More
  • Mwanamke wa Senegal ateuliwa katibu mkuu Fifa Kwa mara ya kwanza katika historia, mwanamke ameteuliwa kuwa katibu mkuu wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), shirikisho ambalo kwa kiwango kikubwa limetawaliwa na wanaume. Bi Fatma Samba Diouf Samoura kutoka Senegal, nd… Read More