Bieber ambaye alikuwa hana viatu aliwavutia mashabiki lakini akakataa kuzungumza nao hadi watakapoweka simu zao chini.
Haijulikani
iwapo picha alizochukua na mashabiki wake katika lango la mbuga hiyo
zilikuwa za mwisho,lakini baadaye jioni alichapisha katika mtandao wake
wa Instagram kwamba hatapiga picha tena na mashabiki.
Iwapo utakutana nami mahali ujue kwamba sitapiga picha tena'',aliandika.Alielezea
vile watu hawaezi hata kumsalimia ama kujua kwamba hata yeye ni
binaadamu na hivyobasi kumfanya kujihisi kama mnyama na sasa anataka
kuheshimiwa
Aliongezea: Najua kwamba watu hawatafurahia lakini hakuna mtu anayenidai picha.
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo April 29, 2024
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam April 29,
2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na
za nyuma za Maga...
2 hours ago