Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe amesema kuwa
yeye sio Mmarekani wala Muingereza wakati
akiwahutubia karibu watu 50,000, wafuasi wake
kwenye mkutano uliofanyika kwenye mji mkuu Harare
kwa heshima yake.
Mugabe mwenye umri wa miaka 92 amekana
uwezekano wowote wa kuondoka madaraklani na
kuwashambulia viongozi hasimu ndani ya chama tawala
cha ZANU-PAFU kwa kupanga kumrithi.
Amesema kuwa yeye anawahudumia watu wa
Zimbabwe na kuwa ataondoka tu ikiwa watu wangetaka
afanye hivyo. Hata hivyo amesema kuwa haondoki na
haendi popote.
Barrick Tanzania yatoa elimu ya usalama kazini na utunzaji wa Mazingira
-
Elimu ya afya na usalama mahali pa kazi inaendelea kuwafikia wananchi
mbalimbali ambao wanatembelea banda la maonesho ya kampuni ya dhahabu ya
Barrick ku...
2 days ago