Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe amesema kuwa
yeye sio Mmarekani wala Muingereza wakati
akiwahutubia karibu watu 50,000, wafuasi wake
kwenye mkutano uliofanyika kwenye mji mkuu Harare
kwa heshima yake.
Mugabe mwenye umri wa miaka 92 amekana
uwezekano wowote wa kuondoka madaraklani na
kuwashambulia viongozi hasimu ndani ya chama tawala
cha ZANU-PAFU kwa kupanga kumrithi.
Amesema kuwa yeye anawahudumia watu wa
Zimbabwe na kuwa ataondoka tu ikiwa watu wangetaka
afanye hivyo. Hata hivyo amesema kuwa haondoki na
haendi popote.
Wanafunzi Kapeta,Kiwira warithishwa ari ya utunzaji mazingira
-
Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), kwa kushirikiana na Shirika la
Utangazaji la Tanzania (TBC), wameendesha zoezi la upandaji miti katika
Shule ya msi...
8 hours ago