Recent Posts

PropellerAds

Thursday, May 12, 2016

Everton yamfuta kazi kocha wake


Klabu ya Everton imempiga kalamu mkufunzi wake Roberto Martinez baada ya kuifunza klabu hiyo kwa miaka mitatu.
Kilabu hiyo ya Martinez ilio katika nafasi ya 12 katika jedwali li ligi ya Uingereza ilishindwa 3-1 na mabingwa wa ligi Leicester siku ya Jumamosi na kupoteza 3-0 dhidi ya Sunderland siku ya Jumatano.
Everton ilipoteza katika nusu fainali ya kombe la FA na lile la Carling msimu huu.
Timu hiyo imeshinda mechi tano pekee nyumbani msimu wote na inatarajiwa kumaliza msimu huu ikiwa na pointi za chini zaidi tangu uzinduzi wa pointi tatu kwa ushindi wowote mnamo mwaka 1981.
Klabu hiyo inatarajiwa kuthibitisha rasmi hatua yao.Kumekuwa na ongezeko la maandamano dhidi ya kocha huyo raia wa Uhispania kutoka kwa mashabiki katika mechi zilizochezwa nyumbani.

Related Posts:

  • Seven Things to Pray for Your Children Some years back a good friend shared with me seven Scripture texts that he and his wife prayed for their two daughters from the time they were infants. The girls are now grown. And it’s beautiful to see how God has answere… Read More
  • The Happiest People in the World The statistics are remarkable. 99% of those surveyed are happy with their lives. 97% answered yes to the question, “Do you like who you are?” 99% agreed with the statement, “Do you love your family?” Do you know of any gr… Read More
  • To Great Things That Never Came He went to see My Little Pony recently. I suppose that a little boy can enjoy My Little Pony, but a 19-year-old in the theater stands out. My brother is a joy to our family. He shares jokes he doesn’t know he… Read More
  • He Knows How to Make You Happy Walk through any bookstore in America, and you might think we have the corner on happiness. Cover after cover promises some secret to new or deeper contentment, each selling tens of thousands of copies. Habits, relationsh… Read More
  • Everyone You Meet Will Live Forever In a post-Christian, post-modern, post-everything society, God’s people are called to operate from courage, not fear. And when we live courageously, putting our hope in the reality of who God is and what God has already acco… Read More