Recent Posts

PropellerAds

Friday, May 27, 2016

Rais Obama atembelea mji wa Hiroshima

Rais Barrack Obama amekuwa rais wa kwanza aliye
mamlakani nchini Marekani kutembelea mji wa
Hiroshima tangu shambulio la nuklia wakati wa vita
vya pili vya dunia.
Obama amesema kuwa kumbukumbu za tarehe 6
mwezi Agosti 1945 hazifai kusahaulika,lakini hakuomba
msamaha wa shambulio hilo la Marekani ikiwa ni bomu
la kwanza la kinyuklia kutumika duniani.
Bw Obama alizungumza na baadhi ya walionusurika na
katika hotuba yake akayataka mataifa kujiendeleza bila
silaha za kinuklia.
Takriban watu 140,000 walifariki mjini Hiroshima na
wengine 74,000 siku mbili baadaye katika bomu la pili
katika mji wa Nagasaki.
Bw Obama alitembelea makavazi ya Heroshima kabla
ya kuelekea katika eneo la kuhifadhi kumbukumbu za
shambulio hilo,akiandamana na waziri mkuu Shinzo
Abe.Wote wawili walisimama mbele ya mwanga wa
milele.

Related Posts:

  • Till now the Lord has helped us  Article by  David Mathis samuel took a stone and set it up . . . and called its name Ebenezer; for he said, “Till now the Lord has helped us.” (1 Samuel 7:12) The Hebrew word Ebenezer may be t… Read More
  • Where Do We Start? I think if we start with the definition, it will become clearer why so many people struggle to understand what love is. So let’s admit that there are very different kinds of love or, to put it another way, the word&nbs… Read More
  • We Say NothingArticle by  Greg Morse Staff writer,  Never have so few words haunted me so. In the dream, I sat in a balcony before the judgment seat of God. Two magnificent beings dragged the man before the throne. He fell i… Read More
  • Fruit Trees Never Lie Article by  Jon Bloom Staff writer, desiringGod.org For me, the last line is the zinger: pleasures never lie. It has stuck in my brain for over two decades. Like a sharp knife, it cuts through a lot of my … Read More
  • How Soon Will Jesus Return? Living in the Last Days Article by  Jon Bloom The “last days” began with the first coming of Jesus (Hebrews 1:2). From the time of Jesus’s ascension to the closing of the New Testament canon, the apostles believed Jesus’s return would be … Read More