Recent Posts

PropellerAds

Wednesday, May 18, 2016

Ndege ya Misri yatoweka ikitoka Paris

Ndege
Ndege moja ya shirika la ndege la Misri la EgyptAir, iliyokuwa ikitoka mji mkuu wa Ufaransa Paris hadi Cairo, imetoweka kutoka kwenye mitambo ya rada.
Maafisa wanaosimamia safari za ndege wanasema kuwa ndege hiyo aina ya Airbus A320, ilikuwa na abiria 59 na wahudumu kumi.
Shirika hilo limesema kuwa ndege hiyo ilitoweka katika maeneo ya mashariki ya bahari ya Mediterranean, kilomita 16 ndani ya anga ya Misri.
Hakuna dalili zozote za kuwepo kwa hali mbaya ya anga.
Misri imetuma ndege za kivita kusaka ndege hiyo kwa ushirikiano na utawala wa Ugiriki.

Related Posts:

  • Jesus Obeyed His Parents Among all the miracles and surprises surrounding God himself becoming man, Luke 2:51 may sound the most unexpected note of all: Jesus “went down [from Jerusalem] with [Joseph and Mary] and came to Nazareth and… Read More
  • Jesus Received Their Praises Messiah came riding into Jerusalem on a humble donkey, not on an elegant steed. He knew the future. He would sit on a throne in heaven. But He also knew His time had not yet come. Psalm 118 describes a conqu… Read More
  • What to Do While You Wait I was awake for only a few forgetful seconds before disappointment crashed in through the door. The past months had turned into a painful season of relational heartache, and the routine had become familiar. Each night, ye… Read More
  • You Won’t Make It Alone Five Reasons You Need Good Friends As Australian nurse Bronnie Ware cared for the dying, she heard them express five common regrets again and again. So, what is one of the deepest regrets of the dying? Not prioritizing friendship. On our deathbeds… Read More
  • Beyond the Ceremony Not the Last Message It may or may not be inconsistent, depending on other factors. So let me draw out something that may be implicit in what this young man is asking, and the paths of relationship he’s pursuing (or not)… Read More