Recent Posts

PropellerAds

Friday, May 13, 2016

Twitter ya mtumbua jipu Mwanamuziki


Mwanamuziki wa mtindo wa Rap Azealia Banks amepigwa marufuku na mtandao wa Twitter.
Nyota huyo wa 212 amezuiliwa kuingia katika mtandao huo kufuatia hatua yake ya kutumia mtandao huo kumtusi msanii Zayn Malik.
Ameshtumiwa kwa ubaguzi baada ya kufananisha mizizi ya mwanamuziki huyo mbali na kutumia matusi.

Kufuatia matamshi yake dhidi ya Zayn,ameondolewa katika tamasha la Born and Bred mjini London.
Gazeti la Metro limeripoti kwamba wizara ya maswala ya ndani nchini humo ilikuwa na mpango wa kumpiga marufuku mwanamuziki huyo kutoingia Uingereza.
Ukurasa wake wa Twitter kwa sasa unaonyesha kwamba amepigwa marufuku na kwamba akaunti yake imeondolewa katika mtandao huo

Related Posts:

  • Miili ya wahamiaji yapatikana:Libya Taarifa kutoka Libya zinasema kuwa miili ya watu wanaodaiwa kuwa ni wahamiaji, imepatikana ikiwa imetapakaa katika mwambao wa bahari karibu na mji wa Zuwara. Baadhi ya taarifa zinasema zaidi ya miili 85 imeonekana ikiwa… Read More
  • MAGAZETI YA LEO JUNE 3. Read More
  • Leadership: Not If, But WhatInfluence can be positive or negative, but it cannot be absent or neutral. There's an old saying that goes: “Lead, follow, or get out of the way!” This assumes that a person can exert a… Read More
  • Leading Across: From Competing to CompletingLeading peers can be tricky since you’re simultaneously cooperating with and competing against them. For example, athletes on the same team contend for a limited number of positions in the starting lineup, yet compete toge… Read More
  • Dawa zilimuua Prince:Madaktari Uchunguzi wa kidaktari kutoka jimbo la Minnesota nchini Marekani umebaini kuwa mwanamuziki Prince alikufa kutokana na kuzidisha kiwango cha dawa. Kwa mujibu wa madaktari waliofanya uchunguzi huo wa kifo cha mwanamuziki… Read More