Recent Posts

PropellerAds

Monday, May 30, 2016

Akamatwa kwa kuvaa fulana yenye picha ya Besigye


Baadhi ya raia nchini nchini Uganda wamelaumu hatua ya kukamatwa kwa mwanamme moja ambaye anadaiwa kuvaa fulana yenye picha na kiongozi wa upinzani Kizza Besigye.
Samson Tumusiime alikamatwa mwishoni mwa wiki.
Hivi majuzi aliweka picha kwenye mtandao wa Facebook akiwa amevaa fulana hiyo.
Watu wengine wawili ambao wanadaiwa kuchapisha fulana hiyo nao wamekamatwa
Kulingana na msemaji polisi Fred Enanga, ni kuwa washukiwa hao watatu walikamatwa kwa sababu walikuwa wamepanga kufanya maandamano yaliyo kinyume na sheria.

Related Posts:

  • Kill Pride Before It Kills You   At some point today, someone will probably compliment or praise something you do or say. If not today, it will happen tomorrow, or sometime next week. How will you respond? How do you typically respond? How we r… Read More
  • Sheria za Ubongo: Kanuni kumi na mbili za kukuongoza katika sehemu yako ya kazi au Shuleni Na: Amani manamba 1.  Kuna uhusiano mkubwa kati ya mazoezi na utayari wa akili kufanya kazi. Mwandishi anatushirikisha kuwa mwili wa mwanadamu umeumbwa kiasi kwamba unaweza kutembea maili 12 kwa siku. Katika mzunguko hu… Read More
  • Statement of FaithSection 1: The Bible We believe the Bible, comprised of the Old and New Testaments, to be the inspired, infallible, and authoritative Word of God (Matthew 5:18; 2 Timothy 3:16-17). In faith we hold the Bible to be inerrant i… Read More
  • Window cannot formatt diskThe Symptom When trying to format a USB drive or memory SD card for not being able to access it or something, the format process might fail with an error message saying that Windows was unable to complete the format. This err… Read More
  • MAMBO YA KUTAFAKARI KABLA YA KUFANYA UAMUZI WA KUOA AU KUOLEWAJambo la kwanzaKuoa au kuolewa kunabadilisha uhusianowako na wazazi wako. Mwanzo.2:24 anasema, “Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili moja”. Ukiangalia (Zaburi.4… Read More