Recent Posts

PropellerAds

Saturday, May 7, 2016

Nduguye Bush asema hatompigia kura Trump

Aliyekuwa mgombea wa urais wa tiketi ya chama cha
Republican nchini Marekani, Jeb Bush, amesema kuwa
hatampigia kura Donald Trump katika Uchaguzi wa
Novemba.
Bwana Bush alisema kuwa Trump hana tabia wala
mienendo ya kuwa Rais wa Marekani.
Jeb ni mojawapo wa wanachama mashuhuri wa
Republican kutanganza hadharani kuwa hatompigia
kura Bwana Trump kwa sababu ya kampeni yake ya
kiburi ambayo imegawanya chama cha Republican.
Mnamo Alhamisi Spika wa Bunge, Paul Ryan, alisema
kuwa hatamuunga mkono mfanyabiashara huyo tajiri,
ingawa atakutana naye juma lijalo.
Hata hivyo Bwana Trump ameungwa mkono na
mgombezi wa Urais wa zamani Bob Dole aliyeshindwa
katika uchaguzi na Bill Clinton wa chama cha
Democratic mwaka 1996.

Related Posts:

  • Kwanini ndoa za sasa hazidumu ? Imezoeleka kwamba ndoa za kikatoliki zikifungwa zimefungwa pamoja na sharti hilo ,viwango vya ndoa zinazovunjika zinaendelea kuongezeka na kufuatia hali hiyo,kanisa katoliki limeamua kuanzisha tuzo maalumu kwa wandoa wako… Read More
  • Muhammad Ali aombolezwa Maelfu ya watu wamehudhuria swala ya kiislamu ya kumuombea aliyekuwa mwandondi bingwa duniani Muhammad Ali -- ambae alikufa wiki iliyopita. Swala hiyo imefanyika katika ukumbi wa 'Freedom Hall' katika mji aliokulia wa Lo… Read More
  • 10 “Different Numbers” That Really Matter Being loyal to a denomination, I’m no stranger to filling out forms and reporting stats. There are good reasons for this accountability, and we at 12Stone® Church are good team players in the Wesleyan Church. We report al… Read More
  • Aliyemdhihaki rais Magufuli ahukumiwa Mtu aliyemdhihaki rais John Pombe Magufuli wa Tanzania amehukumiwa na mahakama ya Tanzania. Kulingana na mtandao wa EATV5, Mtuhumiwa huyo Isack Habakuki alipigwa faini ya shilingi milioni 7 na hakimu mkazi wa Arusha Augus… Read More
  • Wakili aliyepigwa na kupasuliwa nguo mbele ya majaji China Mawakili wengi wa China wamenyanyaswa,kukamatwa na hata kufungwa jela lakini picha ya mmoja wao aliyekuwa na nguo zake zilizovuliwa na maafisa wa polisi imevutia hisia nyingi nchini China. Wu Liangshu alikuwa katika maha… Read More