Recent Posts

PropellerAds

Sunday, May 29, 2016

Mapigano makali yaripotiwa Fallujah


Wanajeshi wa serikali nchini Iraq wanaendelea na mikakati wa kuuteka mji wa Fallujah huku wapiganaji wa Islamic State wakiendesha mashambulizi makubwa katika mji ulio Kaskazini mwa mto Eupharates.
Taarifa zinasema kuwa idadi kubwa ya washambualiaji wa kujitoa mhanga wa Islamic State waliingai mji wa Hit baada ya kuafanya mashambulizi ya roketi.

Wilaya nyingi za mji wa Hit sasa zinaripotiwa kuwa chini ya udhibiti wa Islamic State huku familia nyingi zikiondoka mji huo.
Vikosi vya serikali na wapiganaji wa makabila wanajibu mashambulizi hayo. Waliuteka mji wa Hit kutoka kwa Islamic State mwezi uliopita.

Related Posts:

  • Jesus, I My Cross Have Taken “Ne’er-do-well” was the term for it at the time. Thomas Lyte was lazy and irresponsible. Taken with fishing and hunting, and derelict at home, he sent his son Henry off to boarding school. The headmaster saw young Henry’s gi… Read More
  • Four Ways to Raise Future Men and Women What does Scripture say will make Mama happy? The father of the righteous will greatly rejoice; he who fathers a wise son will be glad in him. Let your father and mother be glad; let her who bore you rejoice. (Proverbs 23:… Read More
  • What Should She Be? You might be surprised to know that your pastor’s wife is much like you. She is not a celebrity or a super-Christian, but like you, she desires to be a faithful follower of the Lord Jesus Christ. That means her God-given p… Read More
  • The Price and the Prize of the Gospel Our mindset is exactly the opposite. We’re suspicious of being different from the historic teachings of the church. The last thing we want to preach is new doctrines exclusive to us. When we say “trademarks,” we mean truth… Read More
  • Does Grace Still Amaze You? Years ago, I spoke at a large event where the vocalist sang one of my favorite songs, “Amazing Grace.” But I was taken aback when I heard the first line: “Amazing grace, how sweet the sound, that saved a soul like me.” The… Read More