Recent Posts

PropellerAds

Saturday, May 28, 2016

Mwanafunzi kutoka Nigeria apigwa India

Hyderabad
Wizara ya mambo ya nje nchini India inasema imeitisha taarifa kutoka kwa maafisa wa jiji la Hyderabad baada ya mwanafunzi kutoka Nigeria kushambuliwa Jumatano.
Mwanafunzi huyo alitibiwa hospitalini na baadaye kuruhusiwa kuondoka.
Wiki iiyopita, kijana kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo alipigiwa na kuuawa mjini Delhi.
Kisa hicho kiliwafanya mabalozi wa nchi za Afrika kutishia kususia sherehe za kuadhimisha siku ya Afrika nchini India ingawa baadaye walibadilisha msimamo wao.
Baada ya kuripotiwa kwa kisa hicho, maduka ya raia wa India katika mji mkuu wa Dr Congo, Kinshasa yalivamiwa na kuporwa.

Related Posts:

  • You Were Made to Play Children laugh and play with puppies and hamsters. Boys and girls twirl and dance in the rain, squeal in the mud, and swim in public pools in the summer and in snow piles in the winter. They play tag and hide-and-seek. They … Read More
  • Blessed Are the Pure in Heart Blessed are the pure in heart, for they shall see God. The first thing we learn from this beatitude is that Jesus is concerned with our heart. It is not enough to clean up our act on the outside. Woe to you, scribes and… Read More
  • The Purest Act of Pleasure Unconditional election is God’s decision to choose a people for himself, a bride, from out of all the God-ignoring sinners on earth. God will begin with a whore and make himself a splendid spouse. This bride is the object… Read More
  • Humble yourself and God will lift you up. Admit it. Surrender is not on your weekly to-do list, included in your monthly goals, or even on your bucket list of what you’d like to accomplish in your lifetime. You’d… Read More
  • What Naturalism Blinds Us from Seeing The Scriptures tell us that “the heavens declare the glory of God” (Psalm 19:1) and that God’s “invisible attributes . . . have been clearly perceived, ever since the creation of the world, in the thing… Read More