Vikosi vya serikali nchini Syria vimezuia msafara wa magari ya kutoa
msaada wa kimataifa kuelekea katika kitongoji cha Daraya kilichozingirwa
katika mji wa Damascus.
Msaada huo ungekuwa wa kwanza kutolewa kwa Daraya katika kipindi cha miaka mitatu unusu.
Umoja wa Mataifa umesema jeshi lilizuia msafara huo wa magari kwa sababu yalikuwa yamebeba maziwa ya watoto.
Barrick Tanzania yatoa elimu ya usalama kazini na utunzaji wa Mazingira
-
Elimu ya afya na usalama mahali pa kazi inaendelea kuwafikia wananchi
mbalimbali ambao wanatembelea banda la maonesho ya kampuni ya dhahabu ya
Barrick ku...
1 day ago