Recent Posts

PropellerAds

Monday, May 9, 2016

Polisi wawili wauawa katika mlipuko Mogadishu

Maafisa wawili wa Trafiki wameuawa katika mlipuko wa kujitoa muhanga wa gari, uliotokea katika makao makuu ya idara ya trafiki mjini Mogadishu.
Milipuko mikubwa ilisikika katika makao hayo makuu ya Trafiki huko Shangani Mogadishu, na baadaye kufuatia na ufyetuaji risasi.
Wapiganaji wa kundi la al-Shabab wamedai kuhusika.
Katika taarifa yao kundi hilo limedai kwamba shambulio hilo lilipangwa vyema.
Mpiganaji mmoja aliliendesha gari lililokuwa na vilipuzi na mwingine alijaribu kuyavamia makao hayo makuu ya trafiki, lakini alipigwa risasi, Abdifatah Omar Halane, msemaji wa utawala wa mj wa Mogadishu ameliambia AFP.
Mara nyingi Al-Shabab hushambulia maeneo ya jeshi na raia katika kampeni yake ya kuipindua serikali ya Somalia.

Related Posts:

  • Four Steps to Rebuild Trust Trust is essential. According to one researcher, trust is the cornerstone of every relationship. But how do we become trustworthy? And how do we regain trust in someone when they’ve done something to betray our trust? As… Read More
  • An Attitude of ThanksgivingGive thanks to the God of gods,for his steadfast love endures forever. Give thanks to the Lord of lords,for his steadfast love endures forever;We thank God for who He is.This psalm uses the holy Triune structure to prais… Read More
  • The Preacher's Advice To The Young ECCLESIASTES (11:9-12:7) INTRODUCTION 1. As a result of his search for meaning in life "under the sun"... a. The Preacher's concluded that "all is vanity" - e.g., 1:2,14; 2:1,11 b. Even one who lives many joyf… Read More
  • Marriage: God’s Showcase of Covenant-Keeping Grace What we have seen in the last two weeks is that the most foundational thing you can say about marriage is that it is the doing of God, and the most ultimate thing you can say about marriage is that it is for the … Read More
  • Standing on the Promises The promises that are LOCATED in God's Word that EXPRESS His love for us that PROVIDE us assurance that He'll keep the promises that He makes and that are DESCRIBED most often conditional, but sometimes unconditional. THOSE… Read More