Recent Posts

PropellerAds

Wednesday, May 18, 2016

Mke apigwa faini kwa kufungua simu ya mumewe


Mwanamke mmoja katika muungano wa milki za kiarabu amepigwa faini na kurudishwa kwao baada ya kupatikana akiingia katika faragha ya mumewe.
Vyombo vya habari vinasema kuwa mwanamke huyo alichukua na kufungua simu ya mumewe baada ya kumshuku kwamba alikuwa na uhusiano wa kando.
Mumewe alilalamika kwa maafisa wa polisi na mkewe akashtakiwa chini ya sheria ya uhalifu wa mtandaoni, kulingana na chombo cha habari cha Gulf News.
Mwanamke huyo ambaye jina lake lilibanwa na ambaye ni mgeni katika muungano wa milki za kiarabu alipigwa faini ya pauni 28,000.
Alikiri mahakamani kwamba aliifungua simu ya mumewe bila ya ruhusa na kuzituma picha katika simu yake wakili wake aliiambia Gulf News.
Wakili huyo Eman Sabt,alisema kwamba wanandoa hao walikuwa na umri wa miaka ya 30 na wenye asili ya kiarabu,lakini hakutoa maelezo zaidi.

Related Posts:

  • The Power of Healing ‭‭And he went throughout all Galilee, teaching in their synagogues and proclaiming the gospel of the kingdom and healing every disease and every affliction among the people. ~ Matthew 4:23 And He called to Him His twelve d… Read More
  • Bible Verses About Healing part 1 He said, “If you will diligently listen to the voice of the Lord your God, and do that which is right in his eyes, and give ear to his commandments and keep all his statutes, I will put none of the diseases on yo… Read More
  • 10 Bible Verses About Courage  Psalm 56:3-4 When I am afraid, I will trust in you. In God, whose word I praise, in God I trust; I will not be afraid. What can mortal man do to me? + Isaiah 41:10 So do not fear, for I am with you; do … Read More
  • Choose Life Deuteronomy 30:15-20 15 See, I set before you today life and prosperity, death and destruction.16 For I command you today to love the Lord your God, to walk in obedience to him, and t… Read More
  • We Reap Only What Has Been Sown part 2 Life is filled with choices, choices that affect us on an everyday basis in everything we do which means our everyday choices are not without significance. Our choices affect us and others in dramatic ways whether we see it … Read More