Ripoti ya siri ya wataalamu wa Umoja wa mataifa ilioonekana a
shirika la habari la Reuters inaarifu kuwa maafisa kadhaa katika Jamhuri
ya Kidemokrasi ya Congo wamesema kuwa Korea kasakzini imewapatia
wanajeshi na polisi bastola.
Wamesema pia Korea kaskazini wamewatuma wakufunzi 30 kutoa mafunzo kwa kikosi cha ulinzi wa rais na vikosi maalum.
Marufuku iliyoidhinishwa dhidi ya Korea kaskazini kuuza silaha inaizuia kununua, kuuza na pia kutoa mafunzo.
Na
marufuku dhidi ya Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo inaihitjai nchi hiyo
kuiarifu kamati ya vikwazo katika baraza la usalama la Umoja wa mataifa
biashara yoyote ya kununua au kupokea mafunzo.
Wataalamu hao
wanasema wamegundua kumaafisa kadhaa wa jeshi Congo pamoja na maafisa wa
polisi waiotumwa ng'ambo kama ujumbe wa Umoja wa mataifa, wanaonekana
kuwa na bastola hizo za Korea kaskazini.
Barrick Tanzania yatoa elimu ya usalama kazini na utunzaji wa Mazingira
-
Elimu ya afya na usalama mahali pa kazi inaendelea kuwafikia wananchi
mbalimbali ambao wanatembelea banda la maonesho ya kampuni ya dhahabu ya
Barrick ku...
2 days ago