Recent Posts

PropellerAds

Friday, May 13, 2016

Korea Kaskazini 'inaihami DR Congo'

Ripoti ya siri ya wataalamu wa Umoja wa mataifa ilioonekana a shirika la habari la Reuters inaarifu kuwa maafisa kadhaa katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo wamesema kuwa Korea kasakzini imewapatia wanajeshi na polisi bastola.
Wamesema pia Korea kaskazini wamewatuma wakufunzi 30 kutoa mafunzo kwa kikosi cha ulinzi wa rais na vikosi maalum.
Marufuku iliyoidhinishwa dhidi ya Korea kaskazini kuuza silaha inaizuia kununua, kuuza na pia kutoa mafunzo.
Na marufuku dhidi ya Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo inaihitjai nchi hiyo kuiarifu kamati ya vikwazo katika baraza la usalama la Umoja wa mataifa biashara yoyote ya kununua au kupokea mafunzo.
Wataalamu hao wanasema wamegundua kumaafisa kadhaa wa jeshi Congo pamoja na maafisa wa polisi waiotumwa ng'ambo kama ujumbe wa Umoja wa mataifa, wanaonekana kuwa na bastola hizo za Korea kaskazini.

Related Posts:

  • Korea kutumia mabomu ya nyuklia kujilindaKorea Kaskazini imesema kuwa itatumia silaha zake za nyukilia kujilinda rais Kim Jong-unamesema. Kiongozi wa wa taifa hilo lenye usiri mkubwa Kim Jong- un aliwaelezea wajumbe wa kamati kuu ya chama tawala Workers' Party mjini… Read More
  • Ashukiwa kuwa gaidi kwa kufanya hisabatiProfesa wa uchumi kutoka Italia, ameelezea hasira za kucheleweshwa katika angatua ya Philadelphia Marekani kwa sababu eti mmoja wa abiria aliyekuwa ameketi karibu yake alimshuku kuwa gaidi kwa sababu alikuwa akifanya hisabati… Read More
  • Mwana harakati apigwa risasi pakstaniMwandishi wa habari ambaye pia ni mkereketwa wa haki za kibinadamu, Khurram Zaki, amepigwa risasi na kuuawa jijini Karachi, Pakistan. Ripoti zinasema kuwa alikuwa akila chakula katika mgahawa mmoja wakati alipopigwa risasi na… Read More
  • SHEHENA KUBWA YA SUKARI ILIYOKUWA IMEFICHWA IMEFICHULIWA........Taasisi ya kuzuia na Kupambana na rushwa (TAKUKURU) imebaini kuwepo kwa sukari iliyofichwa tani 4,579.2 iliyonunuliwa toka Kiwanda cha Sukari Kilombero. Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa leo jijini Dar es salaam na Mkurugenzi… Read More
  • Magufuli aahidi sukari ya bei ya chini Serikali ya Tanzania imeagiza sukari ilikukabiliana na upungufu wa sukari uliopo nchini. Rais wa Tanzania Joseph Pombe Magufuli amesema badala ya kuwapa wafanyabiashara leseni ya kuagiza sukari kutoka ng'ambo serikali yen… Read More