Recent Posts

PropellerAds

Monday, May 9, 2016

Malkia wa Pembe za Ndovu kufika kortini Tanzania


Na mfanyibiashara mmoja wa kichina mwanamke anatarajiwa kufikishwa mahakamani nchini Tanzania hivi leo kufunguliwa mashtaka ya kuendesha mtandao wa kihalifu uliokuwa ukisafirisha kimagendo pembe za ndovu hadi barani Asia.
Viongozi wa mashtaka wamesema kuwa Yang Feng Glan, ambaye anajulikana kwa jina la utani kama Malkia wa pembe za ndovu aliongoza biasha haramu iliyowauwa ndovu katika mbuga za wanyama.
Amekanusha mashtaka hayo.