Recent Posts

PropellerAds

Friday, May 6, 2016

band ya muziki yamzingua Trump kucheza muziki wao


Wanamuziki wa The Rolling Stones wamemtaka mgombea wa urais kupitia tiketi ya chama cha Demokrat Donald Trump kuwacha kucheza muziki wao wakati wa kampeni zake za urais.
Bendi hyo imetoa taarifa ikisema kuwa mgombea huyo wa uraisi hana ruhusa ya kucheza nyimbo zao na wametaka asitishe kufajnya hivyo mara moja.
Bendi ya Rolling Stones haijatoa ruhusa kwa kampeni ya Trump kutumia nyimbo zao na sasa inaitaka kampeni hiyo kukoma kutumia muziki wake mara moja.
Mgombea huyo amekuwa akicheza nyimbo hizo katika mikutano yake ya kampeni kwa miezi kadhaa sasa.Kibao chao kilichovuma mwaka 1969 ''You Cant Always Get What You Want'' kimekuwa maarufu.
 
Bendi hiyo sio ya kwanza kutoa lalama kama hizo kwa nyota huyo wa runinga na mfanyibiashara.
Mnamo mwezi Februari ,Adele alitoa taarifa akijiondoa katika uhusiano wowote na Trump baada ya kucheza muziki wa nyota huyo ''In The Deep'' katika mikutano yake.
Mwanamuziki huyo alitoa taarifa akiweka wazi kwamba hajampatia ruhusa mgombea huyo kutumia muziki wake kwa kampeni zake za kisiasa

Related Posts:

  • Make Every Effort to Live in Unity Let’s Choose to Make Every Effort to Live in Unity The words of Ephesians 4:3 are inescapable. It says, “Making every effort to keep the unity of the Spirit through the bond of peace.” We cannot live out E… Read More
  • How Does ‘Willful Sinning’ Threaten My Salvation? Christians struggle with sin because we, in this life, are still sinners. The presence of sin in us will not be eradicated until that glorious day when we see Jesus face to face. What a day that will be! But until then, we… Read More
  • No Spirit, No Salvation If God promises in 1 Peter 4:14 that the Spirit of glory and of God is going to rest upon you with that much personal, precious helpfulness in the hour of trial, why wouldn’t you want to seek him? Why wouldn’t yo… Read More
  • When Kids Make Early Decisions for Christ My two older daughters both were baptized in kindergarten. Yes, they were both very young. I had the intention with both to encourage them to wait until they were older. However, both made decisions for Christ that I felt … Read More
  • A Letter to My Sons About Pornography Article by  Liz Wann My Dear Sons, The eye beholds much good and evil in this life. Beholding leads to becoming. What we continually put before our eyes and minds will shape and determine who we are. Images either te… Read More