Recent Posts

PropellerAds

Friday, May 6, 2016

band ya muziki yamzingua Trump kucheza muziki wao


Wanamuziki wa The Rolling Stones wamemtaka mgombea wa urais kupitia tiketi ya chama cha Demokrat Donald Trump kuwacha kucheza muziki wao wakati wa kampeni zake za urais.
Bendi hyo imetoa taarifa ikisema kuwa mgombea huyo wa uraisi hana ruhusa ya kucheza nyimbo zao na wametaka asitishe kufajnya hivyo mara moja.
Bendi ya Rolling Stones haijatoa ruhusa kwa kampeni ya Trump kutumia nyimbo zao na sasa inaitaka kampeni hiyo kukoma kutumia muziki wake mara moja.
Mgombea huyo amekuwa akicheza nyimbo hizo katika mikutano yake ya kampeni kwa miezi kadhaa sasa.Kibao chao kilichovuma mwaka 1969 ''You Cant Always Get What You Want'' kimekuwa maarufu.
 
Bendi hiyo sio ya kwanza kutoa lalama kama hizo kwa nyota huyo wa runinga na mfanyibiashara.
Mnamo mwezi Februari ,Adele alitoa taarifa akijiondoa katika uhusiano wowote na Trump baada ya kucheza muziki wa nyota huyo ''In The Deep'' katika mikutano yake.
Mwanamuziki huyo alitoa taarifa akiweka wazi kwamba hajampatia ruhusa mgombea huyo kutumia muziki wake kwa kampeni zake za kisiasa

Related Posts:

  • China targets African support in Western institutions In October 1971, when Mao Zedong’s People’s Republic of China (PRC) tussled with Taiwan for membership of the United Nations, the former won in no small part thanks to its African allies. Twenty-six African countries voted f… Read More
  • HERE ARE THE 100 BEST EDUCATION INFOGRAPHICS “Education is the most powerful weapon which you can use to change the world.”–Nelson Mandela With the world around us ever-changing, education is now more important than ever. Beginning as early as prehistory as a means to… Read More
  • A Privileged PositionYou are my friends if you do what I command (John 15:14, NIV). What could be a greater privilege than to have Jesus call us His friend? If I told you that the president of the Tanzania was my friend, you would probably sni… Read More
  • Mkewe Obama amtambua mbunifu kutoka KenyaMkewe rais wa Marekani Michelle Obama amemsifu mjasiria mali kutoka Kenya mwanzilishi wa kampuni inayotengeza biadhaa za watoto bi Wanjiru Waithaka Waweru. Katika dhifa ya jioni iliyoandaliwa kwa heshma ya wanawake bi Wanjir… Read More
  • When money grows on trees Alan Paul, the 62-year-old chairman of EFK Group, originally realised the nut’s potential when he worked as a consultant researching biofuels. In 2012 he founded a backyard operation based on this natural product “lite… Read More