Recent Posts

PropellerAds

Sunday, May 8, 2016

Korea kutumia mabomu ya nyuklia kujilinda

Korea Kaskazini imesema kuwa itatumia silaha zake
za nyukilia kujilinda rais Kim Jong-unamesema.
Kiongozi wa wa taifa hilo lenye usiri mkubwa Kim Jong-
un aliwaelezea wajumbe wa kamati kuu ya chama
tawala Workers' Party mjini Pyongyang kuwa jeshi lao
litatumia silaha hizo za kitonoradi kulinda uhuru wa
taifa hilo utakapotishiwa.
Aidha rais Kim jong un aliwaeleza wajumbe hao kuwa
Korea Kaskazini sasa itaanza kusemezana na mataifa
yaliyokuwa mahasidi wao hapo awali.
Vyombo vya habari vya taifa vimemnukuu kiongozi huyo
akiambia baraza Kuu la chama cha wafanyikazi
kinachotawala kuwa kunapaswa kuwepo mashauriano
zaidi na Korea Kusini ili kuimarisha uelewano na
kuaminiana.
Inadaiwa pia kuwa alisema kuwa serikali yake itafanya
kila juhudi kupunguza kuenea kwa silaha za kinyukilia
duniani ingawa taifa lake lilijiondoa katika chama cha
kupunguza ongezeko la zana za kinukilia duniani mwaka
2003.
Korea Kaskazini ilifanya jaribio la silaha yake ya
kinukilia miaka mitatu baadaye na kuna uvumi kuwa
inatarajia kufanya jaribio la tano ili kwenda sambamba
na mkutano wa baraza Kuu la Cchama tawala
unaondelea hivi sasa.
Mara kadhaa serikali ya Korea Kaskazini imetisha
kushambulia Marekani na Korea Kusini kwa mabomu ya
kinyukilia.

Related Posts:

  • Jesus Received Their Praises Messiah came riding into Jerusalem on a humble donkey, not on an elegant steed. He knew the future. He would sit on a throne in heaven. But He also knew His time had not yet come. Psalm 118 describes a conqu… Read More
  • Do You Refuse to Be Blessed? When I was first born again, I often lived like a boy stranded between two great blessings. Life with Christ was first about gratitude for what God had done for me at the cross and second about hope for what God would one … Read More
  • What to Do While You Wait I was awake for only a few forgetful seconds before disappointment crashed in through the door. The past months had turned into a painful season of relational heartache, and the routine had become familiar. Each night, ye… Read More
  • Beyond the Ceremony Not the Last Message It may or may not be inconsistent, depending on other factors. So let me draw out something that may be implicit in what this young man is asking, and the paths of relationship he’s pursuing (or not)… Read More
  • You Won’t Make It Alone Five Reasons You Need Good Friends As Australian nurse Bronnie Ware cared for the dying, she heard them express five common regrets again and again. So, what is one of the deepest regrets of the dying? Not prioritizing friendship. On our deathbeds… Read More