Recent Posts

PropellerAds

Thursday, May 12, 2016

Mwanamke afutwa kazi kwa kutovaa viatu vya juu


Karani mmoja wa kupokea wageni mjini London alilazimika kurudi nyumbani baada ya kukataa kuvaa viatu vyenye visigino virefu,imebainika.
Mfanyikazi huyo wa kampuni ya Temp, Nicola Thorp mwenye umri wa miaka 27 kutoka Hackney aliwasili katika kampuni moja inayoshughulikia maswala ya kifedha PwC kabla ya kuarifiwa kwamba anahitajika kuvaa viatu vyenye visigino vya nchi 2 hadi 4.
Alipokataa na kulalamika kwamba mbona wenzake wa kiume hawakutakiwa kuvaa hivyo,alitakiwa kurudi bila ya mshahara.
Kampuni ya Portico imesema kuwa iliweka sheria hizo kwa wafanyikazi wanaokabidhiwa PwC lakini imesema kuwa haitaondoa sheria hiyo.

Related Posts:

  • Raia wa Kenya waishitaki TanzaniaRaia kumi wa Kenya wameituhumu Serikali ya Tanzania, kwa kuwateka jijini Maputo nchini Msumbiji Januari 2006, ambako walikuwa wakiishi kihalali wakitafuta fursa za biashara, na kisha kuwapakiza kwenye ndege ya kijeshi na kuwa… Read More
  • Ndege yaanguka na kuwauwa abiria 62 UrusiNdege ya abiria iliyokuwa na watu 62 imeanguka ilipukuwa ikitua katika mjini ulio kusini mwa Urusi wa Rostov-on-Don. Hakukuwa na manusura kati ya abiria 55 na wahudumu saba waliokuwa ndani ya ndege hiyo. Ndege hiyo aina ya Bo… Read More
  • MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI MARCH 19 Read More
  • Maamuzi magumu ya CUF ZanzibarKatika barua ambayo imesainiwa na Naibu Katibu Mkuu wa CUF Ahmed Nassor Mazrui na kusambazwa kwa wanahabari leo Machi 18,2016, Wabunge wote wa Chama cha Wananchi (CUF) wamejiondoa katika Bunge la Tanzania katika kipindi cha 2… Read More
  • Raia wa Congo kumchagua rais mpyaWakuu katika serikali ya Jamhuri ya Congo wameamrisha kampuni mbili kuu za simu, kufunga mawasiliano yote ya simu, wakati wa uchaguzi wa urais hapo kesho. Wizara ya mashauri ya ndani ya nchi ilisema imefunga mawasiliano kwa s… Read More