Recent Posts

PropellerAds

Monday, May 9, 2016

Maonyesho ya urembo wa ng'ombe India

Mamia ya ng'ombe na fahali walitembea kwenye jukwaa mwishoni mwa juma katika mji uliopo kaskazini mwa India Rohtak katika maonyesho ya aina yake ya urembo.
Hafla hiyo iliandaliwa na serikali ya eneo hilo kutoa mafunzo kuhusu aina tofauati za ng'ombe na haki za mifugo hao.
Zaidi ya ng'ombe 600 na fahali walishiriki na mmiliki ng'ombe aliyeshinda alijinyakuliwa zawadi ya dola 3,600.
Wakulima waliwasili na mifugo yao kutoka wilaya za jimbo la Haryana na waliona fahari wakati ngo'mbe na fahali wao walipotembea juu ya jukwaa.
 Huku wengine wakitembea bila matataizo na kwa madaha wengine walibidi kusukumwa ili wamalize.
Mafahali walikaguliwa kwa uzito, sura na ukubwa wa pembe zao. Na ng'ombe walikaguliwa kutokana na uzuri wao na uwezo wao wa kutoa maziwa.

Waziri wa kilimo wa Haryana, OP Dhankar, alimtuza mmiliki ng'ombe aliyeshinda.
Wanafunzi wa taasisi ya kimataifa ya elimu na utafiti wa mifugo sehemu ambako maonyesho hayo yalifanyika, walipiga picha na ng'ombe walioshinda.

Related Posts:

  • Where Does God Want Me to Work? How do I find God’s will for my life? It’s always a pressing question on the college campus, and especially in our day of unprecedented options. Like never before, in an anomaly in world history, students loosened fro… Read More
  • I Learned to Read the Bible Through Tears Article by  Vaneetha Rendall Risner Regular Contributor I can scarcely read the story of Rachel and Leah without crying. Years ago, someone referred to me as a “Leah” — unloved, yet noble. “God blessed and honor… Read More
  • Ten Biblical Truths on the Obedience of Children Two years ago, I must have struck a nerve with the article “Parents, Require Obedience of Your Children.” It has proved to be one of our most visited resources. In view of that, I thought it might be helpful to go behind … Read More
  • Lord, Free Me from Pride Article by  Isaac Adams Pastor, Washington, DC The longer I am a Christian, the more I’m realizing that God’s commands — like the command to be humble — aren’t hard to find. They’re hard to obey. Obedience isn’t d… Read More
  • Only His Wounds Can Heal Us When I was harming myself, I didn’t see it as a problem, but as a crutch. Without it, I couldn’t walk. Take it away, and I’d stumble and fall. I didn’t choose self-harm like you’d pick out a scarf or a book; in fact, I felt… Read More