Recent Posts

PropellerAds

Saturday, May 7, 2016

Urusi :Mkataba wa amani kuongezwa siku Aleppo

Wizara ya Ulinzi ya Urusi imesema kuwa mkataba wa
usitishaji mapigano utaongezewa muda wa siku tatu
katika jiji la Aleppo na maeneo ya Kaskazini katika
mkoa wa Latakia.
Karibu raia 300 wamefariki chini ya muda wa majuma
mawili kutokana na makabiliano makali ya silaha.
Utulivu umetajwa kurejea katikati mwa Aleppo. Hata
hivyo makabiliano makali yangali yanaendelea Kusini
ambapo wanajeshi wa Syria na waasi wa Kiislamu
kukiwemo kundi la Nusra Front wamekuwa wakipigana.
Mapatano ya amani yalikuwa sehemu moja ya juhudi
za kujenga msingi wa kusitisha mapigano ulioanza
Februari mwaka huu.
Katika maeneo mengine ya Syria Kaskazini, kungali
kuna hali ya sintofahamu juu ya mashambulizi ya ndege
yaliyofanywa Alhamisi kwenye kambi za watu
waliotoroka makwao. Urusi na Serikali ya Syria
wamekanusha kuhusika.

Related Posts:

  • The effective Prayer It’s tragic how easily we can miss the main ingredient in effective prayer. In our sin, we’ve been rewired to focus on us — on the steps we should take for our prayers to be heard. We have this bent toward believing that … Read More
  • God is better than the best sex. Years ago a friend named John met with a group of young men. He was the only married man at the time, and the rest were dabbling with pornography. In a moment of brutal honesty, one of them said to John, “I just don’t und… Read More
  • 5777: Year Of The RAPTURE?   At sundown on October 2nd, the Jewish New Year 5777 will begin, and The LORD’s Biblical “High Holy Days” with it. We will close out the Biblical Jubilee Year (only coming around once every 50 years), which followed… Read More
  • REverent in suffering There was a man in the land of Uz whose name was Job, and that man was blameless and upright, one who feared God and turned away from evil. There were born to him seven sons and three daughters. He possessed 7,000 shee… Read More
  • Let Your Hunger Lead You Closer to God One of my favorite comedians has a bit in which he imagines that the delicious foods we describe as “heavenly” aren’t actually allowed in heaven. I think of this joke whenever I read about manna, the mysterious substance… Read More