Recent Posts

PropellerAds

Monday, May 30, 2016

Wanafunzi wa chuo kikuu cha Dodoma wafukuzwa






Wanafunzi katika chuo kikuu cha Dodoma nchini Tanzania wamefukuzwa chuoni humo baada ya kuzuka kwa mgogoro kati ya serikali na wahadhiri wa chuo hicho.
Wanafunzi hao waliagizwa kuondoka katika chuo hicho kufikia saa kumi na mbili jioni siku ya Jumapili.
Ilani hiyo imesema kuwa kulikuwa na makosa katika mafunzo ya wanafunzi wanaosomea shahada ya elimu ikiwemo sayansi,hesabati,teknolojia hivyobasi serikali imewataka wanfaunzi kuondoka chuoni humo hadi ilani yengine itakapotolewa.
Maelezo kuhusu mgogoro huo kati ya ya wahadhiri wa chuo hicho na serikali haujulikani.

Related Posts:

  • Why We Overthink?When we talk about overthinking, we're talking about a couple of different things. On one hand, overthinking is when you get caught in those loops where you're just thinking about one single event over and over. You might … Read More
  • How to Lose Your Leadership Success, Overnight Can you really become an overnight success? No. Let’s be real. Actual “success” is the sum of all kinds of effort and energy over periods measured in years, not nights. Can you lose your success overnight? Yep.… Read More
  • Buibui hula zaidi ya tani milioni 400 za wadudu kila mwaka duniani Wanasayansi wamefanya hesabu na kugundua kuwa buibui wote walio katika sayari ya dunia, hula kati ya tani 400 na 800 ya wadudu kila mwaka. Watafiti hao walikuwa wakichunguza umuhimu wa kiuchumi wa buibui. Wanasema kuwa h… Read More
  • Why is Freemasonry Wrong? . . .Months later my wife was ministering deliverance to a young lady who told my wife she felt like she had curses on her from her father. She said "he was … Read More
  • Mji huu jimbo la Oregon Marekani unauzwa $3.8m Mji wote wa Tiller, katika jimbo la Oregon nchini Marekani unauzwa, bei yake ikiwa $3.8m (£3.1m). Mji huo unapatikana eneo ambalo halina watu wengi ambalo lipo umbali wa kilomita 362 kusini mwa mji wa Portland. Miongoni … Read More