Recent Posts

PropellerAds

Monday, May 30, 2016

Wanafunzi wa chuo kikuu cha Dodoma wafukuzwa






Wanafunzi katika chuo kikuu cha Dodoma nchini Tanzania wamefukuzwa chuoni humo baada ya kuzuka kwa mgogoro kati ya serikali na wahadhiri wa chuo hicho.
Wanafunzi hao waliagizwa kuondoka katika chuo hicho kufikia saa kumi na mbili jioni siku ya Jumapili.
Ilani hiyo imesema kuwa kulikuwa na makosa katika mafunzo ya wanafunzi wanaosomea shahada ya elimu ikiwemo sayansi,hesabati,teknolojia hivyobasi serikali imewataka wanfaunzi kuondoka chuoni humo hadi ilani yengine itakapotolewa.
Maelezo kuhusu mgogoro huo kati ya ya wahadhiri wa chuo hicho na serikali haujulikani.