Recent Posts

PropellerAds

Wednesday, May 11, 2016

Kongamano la uchumi kufanyika Rwanda


Kongamano la 26 la uchumi duniani linaanza leo mjini Kigali Rwanda.
Hii ni mara ya kwanza kongamano hilo kuandaliwa Rwanda na mara yake ya pili kufanyika afrika mashariki.
Kongamano hilo litakalowaleta pamoja marais wa mataifa ya Afrika wakiongozwa na mwenyeji, Rais wa Rwanda, Paul Kagame, litaangazia masuala ya kiuchumi barani afrika.
Mawaziri wa masuala ya uchumi kutoka mataifa tofuati, wawakilishi wa serikali, wafanyibiashara na wawekezaji maarufu Afrika watashiriki katika mazungumzo hayo.
Kulingana na msemaji wa kongamano hilo, Oliver Cann, mkutano huo unalenga kuimarisha ushirikiano kati ya serikali na sekta za kibinafsi ili kimarisha uchumi wa Afrika.
Suala kuu litakalojadiliwa katika kongamano hilo ni matumizi ya teknolojia kuimarisha biashara Afrika na kuyaunganisha mataifa ya Afrika ili kustawisha biashara.
Kongamano hilo linatarajiwa kutoka mapendekezo juu ya athari za teknolojia kwa ajira na uzalishaji.
Mataifa ya Afrika mashariki yametajwa kuwa mojawapo wa mataifa ya Afrika yenye uwezo mkubwa wa ukuaji na yamekuwa yakilengwa na wawekezaji.
Kongamano hilo la kimataifa litakalowaleta pamoja washiriki 1,500 linatarajiwa kukamilika siku ya Ijumaa, Mei 13.

Related Posts:

  • Lord, Tell Me All I Have in You You make known to me the path of life; in your presence there is fullness of joy; at your right hand are pleasures forevermore. (Psalm 16:11) It had been a desperate search for inner peace. Call it satisfaction, joy,… Read More
  • A Better Mom Is a Broken Mom “Lord, help us sleep tonight so we can be better parents tomorrow for our daughter.” I’ve prayed this prayer often lately. Not long ago, we had our first child, and sleep has become a challenge. But sleep isn’t the only thi… Read More
  • Stand Fast Through Faith I said last time that Paul gives three reasons why the Gentiles should not be proud and boast over unbelieving Israel. In other words, Paul is very concerned with any rise of anti-Semitism — any feelings or attit… Read More
  • How to Love Your Enemies Matthew 5:43-45 You never know what will grab someone’s heart. Mosab Hassan Yousef grew up as a Muslim. From an early age, he studied the Quran, memorized its teachings, said the daily prayers, and followed the way of Is… Read More
  • My Peace I Give to You It is one of the most amazing and wonderful and sweetest things in the Bible to realize that just hours before Jesus was crucified he was concerned for the peace and the joy and the faith of his followers. Think of it. He … Read More