Recent Posts

PropellerAds

Friday, May 6, 2016

Msichana asiye na mikono ashinda tuzo la muandiko bora

Msichana wa miaka saba aliyezaliwa bila mikono ameshinda shindano la muandiko mzuri nchini Marekani.
Anaya Ellick kutoka Chesapeake,Virginia hatumii viungo vya kumsaidia wakati anapoandika.
Wakati anapoandika yeye husimama huku akishikilia kalamu yake katika mikono.
Mwalimu wake mkuu Tracy Cox kutoka shule ya Greenbrier Christian amemtaja kuwa mtu wa mfano mwema.
''Yeye uhakikisha kuwa hakuna kitu kinachomzuia kufanya atakalo'',alisema Cox.''Ni mkakamavu na ana muandiko mzuri katika darasa lake''.
Msichana huyo anadaiwa kuwashinda washindani wengine 50 ili kushinda taji hilo la kitaifa.
Orodha hiyo ya tuzo huwazawadi wanafunzi wenye akili, matatizo ya kimwili, au ulemavu endelevu

Related Posts:

  • Bible Verses about the Word of God For the word of God is alive and active. Sharper than any double-edged sword, it penetrates even to dividing soul and spirit, joints and marrow; it judges the thoughts and attitudes of the heart. Hebrews 4:12  str… Read More
  • Fight the good fight of the faith. Introduction We now enter the closing section of 1 Timothy. Here the Apostle is giving his Son in the faith final instructions. It’s as it were a summary of what Paul sees as most important to Timothy. Paul desires that h… Read More
  • Bible Verses about Righteousness Whoever pursues righteousness and lovefinds life, prosperity and honor. Proverbs 21:21  love life God “will repay each person according to what they have done.” Romans 2:6  reward But you, ma… Read More
  • Bible Verses about Protection Put on the full armor of God, so that you can take your stand against the devil’s schemes. Ephesians 6:11  You are my hiding place;you will protect me from troubleand surround me with songs of deliverance. Psalm 32:… Read More
  • I AM NOT Ashamed of the Gospel Truth Taught- Paul is obligated, eager and not ashamed to preach the Gospel because it is God’s power to salvation for all who believe. Introduction Our text today shows us Paul’s responsibility and passion to preach and … Read More