Recent Posts

PropellerAds

Sunday, May 29, 2016

Walinda amani watano wauawa nchini Mali


Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Mali umesema kuwa walinda amani wake watano wameuawa na wengine wamejeruhiwa vibaya katika shambulizi lililotokea katikati ya mji wa Mopti. Waathirika wanatokea nchini Togo.Gari lao lilipatwa na moto kabla ya kukanyaga bomu la ardhini,na kisha kulipuka.Waziri wa masuala ya kigeni nchini Mali, Abdoulaye Diop, ametuma salam za rambirambi katika mitandao ya kijamii kwa UN na nchi ya Togo.Vifo vyao vimekuja wakati dunia ikiadhimisha siku yawalinda amani.Mwaka uliopita walinda amani 129 kutoka umoja wa mataifa walipoteza maisha katika nchi 16 wanazofanyia shughuli zao.

Related Posts:

  • Love and Respect Basics for Marriage Scripture teaches us that Christians should honor or respect all men (1 Peter 2:17). Every human being bears the image of God, and so, of course, we are called on to respect and honor that. And of course, Scripture also t… Read More
  • Far Worse Than Being Caught Fighting Sin with Fear There is something more dreadful in this world than when God makes us miserable because of our sin: when God uses more sin to make us miserable because of our sin. This is more dreadful because misery may be a wake-up ca… Read More
  • Let’s (Not) Talk About Sex, Baby We all know boundaries are vital for healthy relationships, and especially for dating relationships. Even if you’ve been prone to cross the lines you’ve drawn in the past, you can admit that lines need to be drawn between… Read More
  • God Heals by Humbling “I have seen his ways, but I will heal him; I will lead him and restore comfort to him and his mourners, creating the fruit of the lips. Peace, peace, to the far and to the near,” says the Lord, “and I will heal him.” (I… Read More
  • Pornography is a problem. Pornography is a problem. Porn is like a narcotic, it hijacks the brain, it redefines human sexuality, and in the meantime ruins lives, destroys families, and destabilizes ministries. And honestly it’s a problem that … Read More