Recent Posts

PropellerAds

Friday, May 13, 2016

Brazil yapata kiongozi mpya

Temer
Kaimu rais mpya wa Brazil, Michel Temer, ametoa wito kwa raia wa taifa hilo kuunga mkono serikali yake na kufanya kazi kwa pamoja kujenga upya sifa ya serikali baada ya mgogoro wa kisiasa ulioikumba nchi hiyo.
Bw Temer amesema michezo ya Olimpiki mjini Rio mwezi Agosti, itatoa fursa kwa Brazil kuuonyesha ulimwengu hali halisi ya kiuchumi na kisiasa nchini humo.
Alikuwa akizungumza katika hotuba yake ya kwanza kabisa tangu kuchukua hatamu kutoka kwa Dilma Rousseff aliyeondolewa madarakani kwa muda akisubiri mchakato wa kumtimua ukamilike.

Related Posts:

  • Mwanamke alieolewa mara nyingi zaidi afariki.Mwigizaji maarufu Zsa Zsa Gabor amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 99. Mumewe wa sasa Frederic von Anhalt amesema mwigizaji huyo alifariki baada ya kupatwa na mshtuko wa moyo akiwa amezingirwa na marafiki na jamaa. "Kila … Read More
  • Barafu kubwa kumeguka AntarcticaWanasayansi wameambia BBC kuwa barafu kubwa iliyo na ukubwa mara 50 kushinda kisiwa cha Manhattan, Marekani imefikia kiwango cha kupasuka kutoka eneo kubwa la barafu la Larsen C kaskazini mwa Antarctica. Siwa barafu hiyo inat… Read More
  • Trump aitaka Israel kusitisha ujenzi katika ardhi ya PalestinaRais mteule wa Marekani Donald Trump amelitaka azimio la baraza la usalama la Umoja wa Mataifa kusitisha ujenzi wa makaazi ya Israel katika ardhi ya Palestina. Katika taarifa iliotolewa kabla ya kura hiyo inayotarajiwa baaday… Read More
  • Trump aitaka m marekani kuboresha silaha za nukliaDonald Trump ameitaka Marekani kuboresha zaidi uwezo wake wa zana za nuklia. Rais huyo mteule ambaye ataingia ofisini mwezi ujao amesema kuwa Marakani ni lazima ichukue hatua kama hizo, hadi wakati ulimwengu utatathmini suala… Read More
  • Maajabu ya ziwa natronTANZANIA NA MAAJABU YAKE Ni kweli usiopingika kuwa mazingira yetu yana mambo mengi ya kustaajabisha na kuvutia, kwa siku chache zilizopita nilielezea kuhusu uwepo wa ziwa lenye rangi ya pinki ambalo linapatikana Bara la Austr… Read More