Recent Posts

PropellerAds

Friday, May 6, 2016

Busu la Bieber na aliyekuwa mpenziwe lavutia Instagram


Picha ya mwanamuziki Justin Bieber akimpiga busu aliyekuwa mpenziwe Selena Gomez ndio picha iliopendwa na wengi katika mtandao wa instagram.
Imependwa na watu milioni 3,569,000 huku watu 350,000 wakiipenda dakika 15 tu baada ya kuchapishwa.
http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2016/05/06/160506111228_bieber_4.png
Picha hiyo iliokuwa na maelezo chini yake yalioandikwa ''Feels'' imeipiku picha ya Kendal Jenner ambayo ndio picha iliopendwa sana.
Pia nayo imezungumziwa karibu mara milioni.
 Picha ya nywele zake ilishinda mwaka 2015 na hivyo basi kuishinda picha ya dadaake Kim Kardashian ya harusi na Kanye West mwaka 2014.
 
Selena na Justin waliachana mwaka 2014 lakini mtandao haujamalizana na ''Jelena''.
Pia Bi Gomez aliipenda baada ya Justin Bieber kuichapisha.Justin Bieber sasa ana takriban wafuasi milioni 70 katika mtandao wa Instagram.
 Picha yake ya hivi majuzi akimshika chui milia imependwa mara milioni mbili lakini haikuishinda picha ya Bieber aliyokifua wazi ambayo imependwa mara milioni 2.2.

Related Posts:

  • Maandamano yachelewesha hotuba ya Trump Maafisa wa polisi wa kutuliza ghasia nchini Marekani, wamewaondoa maelfu ya waandamanaji walioshiriki katika maandamano makubwa nje ya eneo la mkutano wa chama cha Republican, ambapo mgombea wa tiketi ya urais wa chama h… Read More
  • Jumba lililoporomoka lawaua watu 7 Nairobi Polisi katika mji mkuu wa Kenya Nairobi wanasema kuwa takriban watu saba waliuawa wakati nyumba moja ilipoanguka katika mtaa mmoja mjini humo. Waokoaji wanaendelea kutafuta watu wanaohofiwa kukwama ndani ya vifusi vya j… Read More
  • Ada ya kupiga simu Ulaya yashuka kwa 75%Ada ya kupiga simu kupitia mitandao mingine katika muungano wa bara Ulaya imeshuka kwa kiwango kikubwa, ikiwa ni hatua ya mwisho kabla ya ada hiyo kuondolewa kabisa kwa raia wa bara Ulaya mwaka ujao. Ada hiyo huwa haiwapendez… Read More
  • Urusi na Marekani zalaumiana kuhusu uchokozi wa ndegeUrusi inasema kuwa ilikuwa na haki kuikabili ndege moja ya Marekani katika bahari ya Baltic siku ya Ijumaa. Hatua hiyo inajiri baada ya Marekani kusema kuwa ndege ya kijeshi ya Urusi ilizua hofu ya kiusalama baada ya kuzunguk… Read More
  • Waandamana dhidi ya chama chenye sera zinazopinga Uislamu olisi nchini Ujerumani wamewazuilia mamia ya waandamanaji wanaopinga chama cha mrengo wa kulia cha AFD. Zaidi ya maafisa 1000 wametumwa katika eneo la mkutano wa chama hicho katika mji wa Stuttgart kutoa ulinzi. Polisi wamet… Read More