Recent Posts

PropellerAds

Friday, May 13, 2016

Mwanamke wa Senegal ateuliwa katibu mkuu Fifa

Samoura
Kwa mara ya kwanza katika historia, mwanamke ameteuliwa kuwa katibu mkuu wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), shirikisho ambalo kwa kiwango kikubwa limetawaliwa na wanaume.
Bi Fatma Samba Diouf Samoura kutoka Senegal, ndiye katibu mkuu mpya.
Atasimamia shughuli za kila siku katika shirikisho hilo ambalo kwa kipindi cha mwaka mmoja sasa limekabiliwa na tuhuma za ulaji rushwa.
Ni mwanadiplomasia aliyehitimu ambaye kwa sasa amekuwa akihudumu kama mratibu wa masuala ya kibinadamu katika Umoja wa Mataifa nchini Nigeria.
Amefanya kazi UN kwa miaka 21.
Bi Samoura amesema ni fahari kubwa sana kwake kuteuliwa kwenye wadhifa huo.
Tangazo hilo limefanywa na rais wa FIFA Gianna Infantino katika kongamano kuu la FIFA linaloendelea Mexico.
Aliyekuwa katibu mkuu wa FIFA Jerome Valcke alipigwa marufuku kutojihusisha na shughuli zozote za soka kwa miaka 12 mapema mwaka huu.

Related Posts:

  • Every Good Mom Dies I’m expecting child number three soon. It feels like starting from the beginning. After two boys, we’ll be having a girl. It’s fun to put together a brand new wardrobe and nursery decorations. We enjoy hearing my sons talk a… Read More
  • How to Win Against Sin (Colossians 3:1-4) To understand our text, we need to view it in the context. In the previous context (Col. 2:23), Paul attacks the rules-based, asceticism of the false teachers, which he says, is “of no value against fleshly indulgence.” In t… Read More
  • You Can Win the War Against Sin If you’re a Christian, you know war. War with your pride, war with your lust, war with your anger. War at home, war at work, war when you’re alone. War in your head, war in your heart, war in your mouth. Kill one enemy, a… Read More
  • Never sin again. Not a single time. Jesus called us to live a perfect, sinless life in righteousness. (Matthew 5:48) But often you experience that righteousness doesn’t come without a fight. And sometimes that fight is not a fight you win. It is not uncommon t… Read More
  • Trauma Is Not a Life Sentence Trauma is a certain kind of suffering — the kind that overwhelms one’s ability to cope. A whole class of wounds that cripple. A wound that buries itself deep in our consciousness. A tragedy too heavy for us. It hap… Read More