eshi la wanamaji la Marekani limesema kuwa limemfuta kamanda wa
mabaharia kumi wa Marekani waliokamatwa na kuzuiliwa kwa muda na Iran
mwezi Januari.
Mabaharia hao walikuwa wamepotea baharini kabla ya kukamamatwa na kuhojiwa nchini Iran kwa kipindi cha saa kumi na tano.
TARURA mkoa wa Morogoro yatakiwa kuendelea kuboresha miundombinu ya usafiri
na usafirishaji
-
Kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru kitaifa Godfrey Mnzava amewataka wakala
wa barabara vijijini na mijini TARURA mkoa wa Morogoro kuendelea kuboresha
mi...
3 minutes ago