Recent Posts

PropellerAds

Sunday, May 8, 2016

Obama awaasa weusi Marekani


Rais wa Marekani Barack Obama amewahimiza wanafunzi 2,000, wengi wao weusi kuimarisha juhudi za kupambana na ubaguzi wa rangi aliosema umebakia nchini humo.
Akizungumza katika Chuo Kikuu cha Howard mjini Washington, Bw Obama alisema hali ya Wamarekani wenye asili ya Kiafrika imeimarika sana tangu yeye atoke chuo kikuu mwaka 1983.
Lakini alisema kuchaguliwa kwake kwa rais wa kwanza mwenye asili ya Afrika nchini humo hakujasaidia kupunguza ubaguzi wa rangi.
Bwana Obama alisema vijana hao wanapaswa kujivunia kuwa watu weusi lakini lazima wahakikishe kuwa wana mipango kambambe ya kuleta mabadiliko.

Related Posts:

  • Barafu kubwa kumeguka AntarcticaWanasayansi wameambia BBC kuwa barafu kubwa iliyo na ukubwa mara 50 kushinda kisiwa cha Manhattan, Marekani imefikia kiwango cha kupasuka kutoka eneo kubwa la barafu la Larsen C kaskazini mwa Antarctica. Siwa barafu hiyo inat… Read More
  • Laptop iliyo na screen tatu yazinduliwa Las VegasKampuni inayotayarisha michezo ya kompyuta ya Razer imezindua kipakatalishi (kompyuta ya kupakata/laptop) mpya ambayo ina screen tatu wenye maonyesho ya teknolojia mpya mjini Las Vegas. Kampuni hiyo imesema laptop hiyo ambayo… Read More
  • Wasichana 800 wakeketwa kaskazini mwa TanzaniaWasichana zaidi ya 800 walikeketwa kaskazini mwa Tanzania mwezi uliopita, mkuu wa wilaya ya Tarime Glorious Luoga amesema. Hilo lilifanyika ingawa polisi wamekuwa wakikabiliana na utamaduni huo. Wanawake 12 wanaotuhumiwa kuhu… Read More
  • Trump aitaka Israel kusitisha ujenzi katika ardhi ya PalestinaRais mteule wa Marekani Donald Trump amelitaka azimio la baraza la usalama la Umoja wa Mataifa kusitisha ujenzi wa makaazi ya Israel katika ardhi ya Palestina. Katika taarifa iliotolewa kabla ya kura hiyo inayotarajiwa baaday… Read More
  • Trump aitaka m marekani kuboresha silaha za nukliaDonald Trump ameitaka Marekani kuboresha zaidi uwezo wake wa zana za nuklia. Rais huyo mteule ambaye ataingia ofisini mwezi ujao amesema kuwa Marakani ni lazima ichukue hatua kama hizo, hadi wakati ulimwengu utatathmini suala… Read More