Recent Posts

PropellerAds

Sunday, May 8, 2016

Ashukiwa kuwa gaidi kwa kufanya hisabati

Profesa wa uchumi kutoka Italia, ameelezea hasira za
kucheleweshwa katika angatua ya Philadelphia
Marekani kwa sababu eti mmoja wa abiria aliyekuwa
ameketi karibu yake alimshuku kuwa gaidi kwa sababu
alikuwa akifanya hisabati.
Profesa Guido Menzio anasema kuwa alicheleweshwa
kuabiri ndege aliyokuwa amepanga kusafiri nayo
akihojiwa na maafisa wa usalama wa uwanja huo wa
ndege.
Yamkini mwanamke mmoja alikuwa amewanong'onezea
maafisa hao kuwepo kwa tishio la usalama kutokana na
hisabati ya Profesa huyo.
Profesa Menzio, mwenye nywele nyeusi na rangi ya
hudhurungi alikuwa ameratibiwa kupanda ndege
iliyokuwa ikitokea Philadelphia, Marekani.
Mwanamke huyo kwa mujibu wa Profesa Menzio
alionekana kuwa na hofu.
Kisirisiri mwanamke huyo alipitisha ujumbe kwa
mhudumu mmoja wa ndani ya ndege alipomuona
profesa akifanya hesabu, alimfikiria kuwa ni gaidi..
Professor Menzio tena alihojiwa kwa urefu na rubani na
afisa mmoja.
Baadaye alisema, itifaki ya usalama ya shirika hilo la
ndege ni ngumu sana , na inategemea abiria ambao
pengine ni wajinga.

Related Posts:

  • How Do I Overcome My Fear of Death? Active God I’m picking up from our friend’s wording that her view of God and his sovereignty over our lives, including when and how we die, may not be as biblical and as solid and as freeing as God means it to be. “You… Read More
  • Called from Death to Life Called from Death to Life First, there is a kind of calling that God speaks when we are dead in sins — that calling which brings us out of deadness into life in union with Christ. This is the calling Paul comments on wh… Read More
  • Forgetting Ourselves Forgetting Ourselves Well he’s right. I have said many times that I long in the pulpit for the privilege of not being conscious of myself and liking what I hear. You might think, “Oh, that’s what you’d want. Be consciou… Read More
  • Life And Death Deuteronomy 30:15Jeremiah 21:8 Verse Concepts "You shall also say to this people, 'Thus says the LORD, "Behold, I set before you the way of life and the way of death. Verse Concepts "See, I have … Read More
  • Helping Missionaries Helping Missionaries Philippians 4:16-18 ESV / 38 helpful votes Even in Thessalonica you sent me help for my needs once and again. Not that I seek the gift, but I seek the fruit that increases to your credit. I h… Read More