Recent Posts

PropellerAds

Saturday, May 21, 2016

Magufuli amfuta kazi waziri kwa kuwa mlevi


Waziri wa mambo ya ndani nchini Tanzania Charles Kitwanga amefutwakazi kutokana na sababu ya kuwa mlevi akiwa kazini.
Kwenye taarifa, rais John Magufuli alisema kuwa bwana Kitwanga alienda bungeni na kujibu swali la mbunge akiwa mlevi.
Hata hivyo bwana Kitwanga hajasema lolote.

Rais Magufuli ambaye aliingia ofisini mwaka uliopita aliahidi kupambana na ufisadi na awewafuta kazi maafisa kadha kuhusiana na suala la ufisadi.
Lakini waandishi wa habari wanasema kuwa kufutwa kwa bwana Kitwanga ni jambo la kushangaza kwa sababu amekuwa rafiki wa rais kwa siku nyingi

Related Posts:

  • Financial Analysis Financial Analysis is defined as being the process of identifying financial strength and weakness of a business by establishing relationship between the elements of balance sheet and income statement. The information per… Read More
  • Marry the Bible This Year Here comes our annual reminder to take stock and make fresh resolves. And for many of us, a new year means an opportunity to re-up on our spiritual disciplines. However poor our eating has been or however inadequately we’… Read More
  • "Destroyed for Lack of Knowledge" The Gospel Feast"When Jesus then lifted up His eyes, and saw a great company come unto Him, He saith unto Philip, Whence shall we buy bread that these may eat?"--John vi. 5. After these words the Evangelist adds, "And t… Read More
  • What Are Faith, Hope, and Love? Despite imprisonment and the death of his wife and son, Jeremy Taylor (1613-1667) never lost his deep faith and profound love of Christ. He wrote numerous devotional and theological works, the most famous of which are Holy L… Read More
  • Statement of Faith Statement of Faith We believe in one God-Father, Son and Holy Spirit. We believe in the inerrancy of the Bible. That the Old and New Testaments are the inspired, infallible Word of God. We believe in the resurrection of th… Read More