Recent Posts

PropellerAds

Saturday, May 28, 2016

Waliobadili jinsia kutumia vyoo watakavyo


Majimbo kumi na moja ya Marekani yanaushtaki utawala wa Rais Barack Obama, dhidi ya agizo lake kwamba shule za umma lazima wanafunzi waliobadili jinsia kuchagua vyoo vya kutumia.
Utawala huo umetishia kutotoa fedha za shirikisho kwa shule ambazo hazitazingatia agizo hilo, lakini madai hayo yaliyofunguliwa mjini Texas serikali imesema kwamba inajaribu kuzirejesha Shule katika maabara kwa ajili ya majaribio makubwa ya kijamii.
Utata umelenga katika jimbo la North Carolina,ambalo siku za hivi karibuni lilipitisha sheria likiwaruhusu watu waliobadili jinsi zao kutumia maliwato za umma kulingana na jinsi zinavyoonesha katika vyeti vyao vya kuzaliwa.

Related Posts:

  • When Do We Intervene in Other People’s Conflicts? Family Matters I was talking to a friend just last night about how good it is when our adult children come home with their families for Thanksgiving or Christmas or just to visit. We were observing that sometimes there ar… Read More
  • For God So Loved His Worth Many of us miss the glory of Passion week because deep down we think we’re the center of what God did two thousand years ago. We think Jesus came and lived and died and was raised mainly for us — for me. We read the G… Read More
  • On My Wedding Day The wedding day has finally come. Tomorrow, Lord willing, I will no longer be not-yet-married. In a month or year or five years, people will ask us how marriage is going. We didn’t want to have to settle for how we feel i… Read More
  • Ask God to Forgive You, Not Excuse You God exists everywhere and everywhen. He is eternal and omnipresent. And not only is he present everywhere, he is everywhere pursuing us. He is the hunter, the king, the husband, approaching us at an infinite speed. Central… Read More
  • Children Need a Crisis of Faith  My wife and I have five children. Our oldest two have exited childhood and are adventuring into the uncharted territory of their young adulthood. Our younger three are navigating the tricky waters of adolescence. A… Read More