Recent Posts

PropellerAds

Wednesday, May 11, 2016

Kambi ya jeshi Nigeria 'sehemu ya kifo'

wafungwa wapatao 149 wamkufa katika hali mbaya katika kizuizi cha jeshi kaskazini mashariki mwa Nigeria mwaka huu.
Katika ripoti, Amnesty linasema 11 kati ya waliokufa katika kizuizi cha Giwa walikuwa ni watoto wakiwemo watoto wachanga 4.
Limekitaja kizuizi hicho kama "sehemu ya kifo" na limesema kinapaswa kufungwa.
Jeshi halijatoa tamko lolote kuhusu ripoti hiyo ya hivi karibuni lakini katika siku za nyuma limesema limeidhinisha kitengo cha haki za binaadamu kuchunguza madai ya ukiukaji wa haki za binaadamu.
Kizuizi kilichopo katika kambi ya jeshi ya Giwa kipo Maiduguri, mji mkubwa kaskazini mashariki mwa Nigeria, ambako jeshilinakabiliana na wanamgambo wa kiislamu Boko Haram.

Related Posts:

  • Joshua Chooses God Description Life is all about choices. Whether we're facing times of trouble or enjoying periods of abundance, we can turn our backs on God, or we can choose to trust, obey, and serve Him. … Read More
  • MAGAZETI YA LEO TZ NA NJE,JUNE 29 Read More
  • Modem(modulator - den odulator )A modem ( modulator- dem odulator) is a network hardware device that modulates one or more carrier wave signals to encode digital information for transmission and demodulates signals to decode the transmitted information. The… Read More
  • Living Life Full Speed AheadUniversalism, utopianism, utilitarianism… With so many "isms”  floating around waiting to blow up our ship, is it safe to go anywhere? How do we navigate through such dangerous waters? In the heart of the Civil War, Mob… Read More
  • Hifadhi ya gesi ya Helium yagunduliwa Tz Tanzania ni miongoni mwa mataifa machache duniani yaliyojaliwa kuwa na rasilimali na madini mengi. Na baada ya kugunduliwa kwa gesi asili huko Mtwara na dhahabu sasa watafiti kutoka Uingereza wamegundua hifadhi kubwa zaid… Read More