Recent Posts

PropellerAds

Friday, May 6, 2016

Dini hudhuru wanafunzi, wizara ya elimu China yasema

Dini
Serikali katika mkoa wa Gansu, China imeagiza wasimamizi wa shule kutekeleza kikamilifu marufuku ya kutokubalia shughuli zozote za kidini shuleni.
Wizara ya elimu katika mkoa huo uliopo kaskazini mashariki kwa nchi hiyo imechukua hatua hiyo baada ya msichana mmoja kuoneshwa kwenye video akikariri vifungu kadha vya Koran katika shule moja.
Shule hiyo imeshutumiwa vikali na maafisa hao wa wizara ya elimu.
Wizara hiyo kupitia taarifa imesema dini shuleni huathiri hali ya kiakili ya watoto.
Baadhi ya shughuli za kidini hukubaliwa nchini China lakini hudhibitiwa vikali.
Lakini waandishi wa BBC nchini humo wanasema serikali huwa makini sana kuhusu baadhi ya shughuli za kidini ambazo zinaweza kuathiri utambulisho wa kitamaduni wa Kichina.

Related Posts:

  • Smartphone Age: Prisoners of Self Incessant The man doting over a smartphone screen, scrolling through media with his fingertips, is like a gorilla meticulously picking out little bugs from his own hair. That was the subversive quip of anthropologist Thomas de Z… Read More
  • BIBLIA:MTAKULA NYAMA ZA WANA WENU NA BINTI ZENU. Si jambo jepesi kulanyama za ndugu zetu wapendwa , lakini kwa nini? Mungu anasema mtakula Nyama za binti zenu na wana wenu. endelea kusoma vifungu hivi  vya biblia na utaona na kujifunza.   A.MTAKULA NYAMA ZA W… Read More
  • methali:Zinguo la mtukufu ni ufito 1. Aanguaye huanguliwa. 2. Asiye sikia la mkuu, huvunjika guu. 3. Abebwaye hujikaza. 4. Adhabu ya kaburi aijuae maiti. 5. Adui aangukapo, mnyanyue. 6. Adui mpende. 7. Adui wa mtu ni mtu. 8. Afadhali ya Musa kuliko ya Firauna… Read More
  • Wabunge: Jifunzeni kupitia makosa ya kina Mangugo. Safari ya Usagara Tarehe 10 Novemba 1884 Peters alifika Unguja pamoja na wanakamati wawili ili aendelee kuzunguka kwenye Tanganyika. Serikali ya Kijerumani ya Chansella Bismarck haikukubali mipango yake kwa sababu iliogopa… Read More
  • FEELINGS OF POWER AFFECT THE BRAIN LIKE COCAINE Power really DOES go to your head: Giving people a taste of authority can corrupt even honest members of a group Scientists in Switzerland asked volunteers to play the 'dictator game' In the game, people were given complete… Read More