Recent Posts

PropellerAds

Friday, May 6, 2016

Dini hudhuru wanafunzi, wizara ya elimu China yasema

Dini
Serikali katika mkoa wa Gansu, China imeagiza wasimamizi wa shule kutekeleza kikamilifu marufuku ya kutokubalia shughuli zozote za kidini shuleni.
Wizara ya elimu katika mkoa huo uliopo kaskazini mashariki kwa nchi hiyo imechukua hatua hiyo baada ya msichana mmoja kuoneshwa kwenye video akikariri vifungu kadha vya Koran katika shule moja.
Shule hiyo imeshutumiwa vikali na maafisa hao wa wizara ya elimu.
Wizara hiyo kupitia taarifa imesema dini shuleni huathiri hali ya kiakili ya watoto.
Baadhi ya shughuli za kidini hukubaliwa nchini China lakini hudhibitiwa vikali.
Lakini waandishi wa BBC nchini humo wanasema serikali huwa makini sana kuhusu baadhi ya shughuli za kidini ambazo zinaweza kuathiri utambulisho wa kitamaduni wa Kichina.

Related Posts:

  • When money grows on trees Alan Paul, the 62-year-old chairman of EFK Group, originally realised the nut’s potential when he worked as a consultant researching biofuels. In 2012 he founded a backyard operation based on this natural product “lite… Read More
  • HERE ARE THE 100 BEST EDUCATION INFOGRAPHICS “Education is the most powerful weapon which you can use to change the world.”–Nelson Mandela With the world around us ever-changing, education is now more important than ever. Beginning as early as prehistory as a means to… Read More
  • A Privileged PositionYou are my friends if you do what I command (John 15:14, NIV). What could be a greater privilege than to have Jesus call us His friend? If I told you that the president of the Tanzania was my friend, you would probably sni… Read More
  • Mkewe Obama amtambua mbunifu kutoka KenyaMkewe rais wa Marekani Michelle Obama amemsifu mjasiria mali kutoka Kenya mwanzilishi wa kampuni inayotengeza biadhaa za watoto bi Wanjiru Waithaka Waweru. Katika dhifa ya jioni iliyoandaliwa kwa heshma ya wanawake bi Wanjir… Read More
  • China targets African support in Western institutions In October 1971, when Mao Zedong’s People’s Republic of China (PRC) tussled with Taiwan for membership of the United Nations, the former won in no small part thanks to its African allies. Twenty-six African countries voted f… Read More