Recent Posts

PropellerAds

Friday, May 13, 2016

Mwanamume 'adandia' helikopta Bungoma Kenya

Ndege
Mwanamume mmoja katika mji wa Bungoma, Magharibi mwa Kenya ameshangaza wengi baada ya kudandia helikopta ambayo imepaa na kuondoka naye.
Helikopta hiyo ilikuwa imesafirisha mwili wa mfanyabiashara mashuhuri Jacob Juma aliyeuawa kwa kupigwa risasi jijini Nairobi wiki iliyopita, vyombo vya habari nchini Kenya vinasema.
Video zinazosambaa mtandaoni zinaonesha helikopta hiyo ikipaa juu angani kutoka uwanja wa Posta, mwanamume huyo akiwa amejishikilia kwenye vyuma vya helikopta hiyo.
Taarifa zinasema baadaye ndege imetua kwa dharura katika uwanja wa ndege wa Bungoma na mwanamume huyo akapelekwa hospitalini

Related Posts:

  • Three Good Reasons You’re Not Happy We have learned to laugh when our 2-year-old screams. At this stage, the end of anything good has become a devastating crisis — the bottom of the ice-cream cone, the closing scene of his favorite movie (that he’s seen dozen… Read More
  • Joy Makes All Things New I want to talk about a discovery that I made by grace in the word of God fifty years ago. In the fall of 1968 came three months or so during which I passed from ignorance into knowledge concerning things that have shaped e… Read More
  • The Price and the Prize of the Gospel When you hear me say that we are in a series of messages on the thirty-year theological trademarks of Bethlehem, don’t think niche branding. Don’t think “thirty-year exclusives.” I don’t even like the word distinctive… Read More
  • The Gospel in Six Truths Now I would remind you, brothers, of the gospel I preached to you, which you received, in which you stand, and by which you are being saved, if you hold fast to the word I preached to you — unless you… Read More
  • Grace Is Pardon — and Power! By the grace of God I am what I am, and his grace toward me was not in vain. On the contrary, I worked harder than any of them, though it was not I, but the grace of God that is with me. (1 Corinthians 15:10) Gra… Read More