Recent Posts

PropellerAds

Wednesday, May 18, 2016

Besigye ashtakiwa kosa la uhaini Uganda

BesigyeKiongozi wa upinzani nchini Uganda Kizza Besigye amefikishwa mahakamani mjini Kampala na kushtakiwa kwa kosa la uhaini.
Dkt Besigye alifikishwa katika majengo ya mahakama ya Nakawa mapema kabla ya saa tatu, muda wa kawaida wa kufunguliwa kwa mahakama, na akasomewa mashtaka
.
Alijiwakilisha mwenyewe kortini na amesema hataki kuhusisha mawakili katika kesi hiyo.
Hakimu ameamuru awekwe rumande hadi tarehe 1 Juni.
Dkt Besigye ndiye aliyekuwa mpinzani mkuu wa Rais Yoweri Museveni kwenye uchaguzi mkuu uliofanyika Februari nchini humo.
Leo imekuwa mara ya pili kufikishwa mahakamani akikabiliwa na tuhuma hizo za uhaini kwani awali alifikishwa mahakani kwa mara ya kwanza siku ya Ijumaa iliyopita katika mji wa Moroto, baada yake kudaiwa kujiapisha kuwa rais siku moja kabla ya Rais Museveni, aliyetangazwa kuwa mshindi wa uchaguzi huo kuapishwa..
Besigye alishikiliwa na polisi kwa muda wa siku mbili ambapo alifikishwa mahakamani huku shughuli za mahakama zikiwa zimekwisha.
Kumekuwa na malalamiko kutoka kwa wafuasi wake ambao wamekuwa wakisema hakuruhusiwa kuwasiliana na wanasheria wake

Related Posts:

  • You Are Not Alone by Jamie Ivey I’ll never forget the first time I told a friend all the parts of my story I was so ashamed of—the parts of my story that made me feel so utterly alone and embarrassed. At that point, I could count the num… Read More
  • Nothing Can Compare God’s absolute being means all the universe is, by comparison to God, as nothing. Contingent, dependent reality is to absolute, independent reality as a shadow to a substance, as an echo to a thunderclap, as a bubble to the … Read More
  • The Best Way to Find God’s Will for Your Gifts Let’s imagine, for the sake of illustration, that you’re not very familiar with fish (perhaps you don’t have to imagine). And you’ve agreed to participate in an experiment where you’re asked to identify whatever is placed … Read More
  • Do We Have a Guardian Angel? Do we have guardian angels—personal angels who hang out with us and go where we go? I don’t know for certain, but I do know that as believers, we have angels in our lives. Every Christian does. The Bible clearly teaches, … Read More
  • Faith in Action   Now faith is confidence in what we hope for and assurance about what we do not see. Hebrews 11:1 by Nick Vujicic I have discovered time and again that when we ask for God’s help and then take action, knowing… Read More