Recent Posts

PropellerAds

Monday, May 2, 2016

Waziri mkuu wa Ufaransa kusimamia kandarasi ya manowari

VallsWaziri mkuu wa Ufaransa Manuel Valls amesema kuwa atasimamia mwenyewe kandarasi kubwa iliyoshindwa na kampuni ya Ufaransa ya DCNS ya kujenda manowari ya jeshi la wanamaji wa Australia.
Bw Valls alikuwa akiongea kwenye mkutano wa pamoja wa waandishi wa habari mjini Canberra nchini Australia na mwenzake waziri mkuu Malcolm Turnbull.
Wiki iliyopita DCNS iliwabiku washindani kutoka Japan na Ujerumani na kushinda kandarasi hiyo ya gharama ya dola billioni 39 ya kujenga manowari 12 kwa Australia.
Kampuni hiyo inasema kuwa chombo hicho chenye uzito wa tani 4500 ndicho hatari zaidi kuwai kujengwa.

Related Posts:

  • Where Is God’s Love in Loss? “God loves you!” You’ve heard it before, especially if you were exposed to the kind of Christian teaching I received throughout my childhood. These three words formed the overall message I learned about God as a child. It … Read More
  • THANK YOU GOD by Brandy Webb Have you ever had one of those days that make you realize how real God is, and you are completely filled with joy that you know He is real? I am talking about one of those days that you know without any do… Read More
  • He Loves Me, Class that day began so peacefully. My university professor began the Christian Love and Marriage class with a “fun little assignment to get the creative juices flowing.” The task was simple: Draw what you … Read More
  • God Wounds Us Because He Loves Us Often the love we need most is the love we want least. The love feels so harsh, so blunt, so unpleasant in the moment that we often don’t even recognize it as love. “My son, do not regard lightly the discipline of the Lor… Read More
  • Love Yourself Less What Is Love? We know Foreigner’s producers understood this, at least intuitively, as a religious question, because the song builds into a gospel choir anthem by its end. We all share their intuition. We know that e… Read More