Bw Brennan alisema kuwa Bin Laden alikuwa mwenye ushawishi mkubwa na ilikuwa muhimu kumuondoa mtu ambaye alihusika na kupanga na mashambulizi ya Sepetemba 11 katika miji ya New York na Washington. Mkuu huyo wa CIA pia anasema kuwa ikuwa mkuu wa kundi la Islamic State, Abu Bakr Al-Baghdadi, atauawa itakuwa na athari kubwa kwa kundi hilo.
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ke...
1 month ago