Recent Posts

PropellerAds

Thursday, May 5, 2016

Hali ya hatari yatangazwa Canada

McMurrayGavana wa jimbo la Alberta nchini Canada ametangaza hali ya hatari wakati moto mkubwa wa msituni unapoteketeza maeneo ya mji wa Fort McMurray.Maafisa wanasema kuwa nyumba 1600 na majengo mengine yameharibiwa na moto huo ambao sasa unakaribia uwanja wa ndege wa mji huo.
Waziri mkuu nchini Canada amesema kuwa moto huo umesababisha hasara ya kiwango kikubwa.
Watu wa mji wa Fort McMurray ambao ni 80,000 wamehamiswa.

Related Posts:

  • The Prayer God Loves to Answer Most God loves to answer the prayer “Show me your glory.” When your soul hungers, when your tank feels empty, when you’re running on fumes, when you open your Bible in the morning and ask for God’s help, a great go-to request… Read More
  • Three Prayers for Prodigal Children I once was that prodigal child — lost, angry, and struggling to find my identity. Hardened on the outside, but deeply hurting within. The pain of my choices was not only destroying me, but creating heartache within our f… Read More
  • wanawake wanawapenda wanaume wasio waoga   Katika utafiti wa hivi karibuni, watafiti wamegundua kwamba, wanawake wanawapenda wanaume wasio waoga na mashujaa kuliko wale waoga. Ushujaa wa wanaume ni kigezo kikubwa kwa wanawake kuwapenda marafiki wa kiume wa mu… Read More
  • Wekeza katika maarifa "Until your brain sweat, you won't experience swiftness" Katika kitabu cha Hosea 4:6 imeandikwa “watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa…” Inawezekana umesikia mara nyingi sehemu hii; swali ambalo nataka tujiulize kwa… Read More
  • Factors to Consider Before Investing One of your budgeting goals may be to have extra money that is not spent during the month. You may be accumulating this extra money to spend on something big within the year without going into debt – for things like a new … Read More