Recent Posts

PropellerAds

Tuesday, May 3, 2016

Mamake Tupac Shakur aaga dunia


Mamaake aliyekuwa mwanamuziki wa mtindo wa Rap Tupac Shakur ,Afeni Shakur amefariki akiwa na umri wa miaka 69.
Kaunti ya California imethibitisha kifo chake kupitia ujumbe wa Twitter.Hakuna maelezo zaidi yaliotolewa.
Alice Faye Williams,alibadilisha jina lake na kuitwa Shakur akiwa mtu mzima alipokuwa mwanaharakati wa kisiasa na kujiunga na vuguvugu la Black Panther.
Alikuwa na mimba ya Tupac mwaka 1971 alipokamatwa na kufungwa jela pamoja na wanachama wengine wa vuguvugu hilo na kukabiliwa na mashtaka ya njama ambayo baadaye yalitupiliwa mbali.
Shakur alikuwa kigezo kizuri cha muziki wa mwanawe na alisimamia mziki wake baada ya kifo chake.
Tupac Shakur alifariki mwaka 1996 akiwa na umri wa miaka 25,baada ya kupigwa risasi na watu wasiojulikana katika gari moja.
Mauaji yake bado hayajapata ufafanuzi.

Related Posts:

  • Pope delivers Easter message of hope after grim week of terrorPope Francis preached an Easter message of hope after a grim week in Europe, calling on Christians not to let fear and pessimism "imprison" them. Speaking amid tight security at the Vatican, the Pope said: "Let us not allow d… Read More
  • Midomo sasa kufichua siri za watuWataalamu nchini Uingereza wanasema wamevumbua teknolojia ya kusoma midomo ya watu ambayo inaweza kubaini wanasema nini bila kusikia wanachosema. Teknolojia hiyo inaweza kusaidia sana kufahamu watu wanaonaswa kwenye kamera za… Read More
  • Akamatwa kwa kuipelelezea Korea KusiniRaia wa Marekani aliyekamatwa nchini Korea Kaskazini amesema kuwa aliiba siri za kijeshi za Korea kaskazini ili kuisaidia Korea Kusini katika taarifa na waandishi wa habari ilioandaliwa na Pyongyang. Kim Dong Chul mwenye umri… Read More
  • Mali yakamata 2 waliopanga ugaidi Ivory CoastPolisi nchini Mali wanasema watu wawili wamekamatwa kaskazini mwa nchi, kwa kuhusika na shambulio lilofanywa mwezi huu na Al Qaeda, katika eneo la watalii nchini Ivory Coast. Mmoja wao anasemekana kuwa ndiye aliyepanga usafir… Read More
  • Wagombea warushiana matusi MarekaniWagombeaji wawili wa Urais wa chama cha Republican nchini Marekani wamegombana vikali na kurushiana matusi juu ya wake zao. Seneta wa Texas, Ted Cruz, amemlaumu mpinzani wake, mfanyabiashara Donald Trump kwa kuzusha uvumi kuw… Read More