Recent Posts

PropellerAds

Wednesday, May 4, 2016

Kwa nini raia wa Afrika Kusini huchoma shule?

Awali iliropotiwa kuwa Shule nane kaskazini mwa Afrika Kusini zilichomwa na waandamanaji.
Maandamano nchini Afrika Kusini yana historia ya kubadilika na kuwa ghasia,ikianzia miaka ya nyuma ya utawala wa wakoloni ambapo wakaazi waliokasirika walikuwa wakiharibu mali ya serikali kuonyesha kutopendelea jambo fulani.
Ni zaidi ya miaka 20 sasa tangu taifa hilo lijipatie uhuru wake na inaonyesha kuwa hatua hiyo haijasahaulika.
Watu hukasirishwa kwa kile wanasema ni hali ya kujikokota kwa serikali kuwapatia huduma kama vile nyumba,umeme na maji na hivyobasi kuamua kufanya uharibifu.
Lakini visa hivyo vimekosolewa na serikali kwa kuwa waandamanaji uharibu vitu muhimu kama vile shule,maktaba na kliniki.
Mwishowe jamii hizo husalia zikihitaji huduma hizo,serikali inasema.

Related Posts:

  • He Knows How to Make You Happy Walk through any bookstore in America, and you might think we have the corner on happiness. Cover after cover promises some secret to new or deeper contentment, each selling tens of thousands of copies. Habits, relationsh… Read More
  • Everyone You Meet Will Live Forever In a post-Christian, post-modern, post-everything society, God’s people are called to operate from courage, not fear. And when we live courageously, putting our hope in the reality of who God is and what God has already acco… Read More
  • To Great Things That Never Came He went to see My Little Pony recently. I suppose that a little boy can enjoy My Little Pony, but a 19-year-old in the theater stands out. My brother is a joy to our family. He shares jokes he doesn’t know he… Read More
  • When I Am Afraid What fears creep into your heart most often? Are you worried you might never get married? Or if you’re married, that your marriage may never get better? Are you afraid of failing at work or losing your job? Do you have fear… Read More
  • Seven Things to Pray for Your Children Some years back a good friend shared with me seven Scripture texts that he and his wife prayed for their two daughters from the time they were infants. The girls are now grown. And it’s beautiful to see how God has answere… Read More