Recent Posts

PropellerAds

Monday, May 2, 2016

Vardy mchezaji bora wa mwaka Uingereza

Vardy
Mshambuliaji wa Leicester Jamie Vardy ametawazwa mchezaji soka bora wa mwaka na chama cha waandishi wa kandanda Uingereza.
Mshambuliaji huyo wa Uingereza alipata 36% ya kura zilizopigwa na wanahabari 290 na kuwashinda wenzake Riyad Mahrez na N'Golo Kante.
Vardy, 29, amefunga mabao 22 Ligi ya Premia msimu huu.
Aidha, alivunja rekodi kwa kufunga mabao kila mechi katika mechi 11 mtawalia.
Klabu yake inahitaji alama mbili pekee kushinda Ligi Kuu ya Uingereza lakini inaweza pia kutawazwa mabingwa iwapo Tottenham watashindwa kuwalaza Chelsea jioni.
Mahrez alishinda tuzo ya mchezaji bora wa mwaka ya PFA, ambayo mshindi hupigiwa kura na wachezaji soka ya kulipwa, mwezi jana.

Related Posts:

  • Helping Each Other Endure to the End Fifty years ago evangelicals in Germany formed what became known as the Confessing Church. They opposed the German Christian Church Movement sponsored by the Nazis between 1933 and 1945. As Nazi dominance increased, the Co… Read More
  • Doing Life Together My purpose is that they may be encouraged in heart and united in love, so that they may have the full riches of complete understanding, in order that they may know the mystery of God, namely, Christ, in whom are hidden all… Read More
  • Don’t Give Up “Here is a call for the endurance of the saints” (Revelation 14:12). We all long for rest from the fatigue of living. God placed the desire for rest in our souls, and he promises to fulfill it: “I will satisfy the weary s… Read More
  • Lord, Set Me Free from Fear On Thursday night, Peter said to the One he knew was “the Christ, the Son of the living God” (Matthew 16:16), “Even if I must die with you, I will not deny you!” (Matthew 26:35). Then, in the wee hours of Friday morning,… Read More
  • The Three Breeds of Gossip "A man of knowledge uses words with restraint, and a man of understanding is even-tempered.  Even a fool is thought wise if he keeps silent, and discerning if he holds his tongue' without wood a fire goes out;… Read More