Recent Posts

PropellerAds

Thursday, May 5, 2016

Snura aomba radhi kwa wimbo uliofungiwa Tanzania

Snura
Msanii Snura Mushi ambaye wimbo wake wa Chura ulipigwa marufuku na serikali ya Tanzania ameomba radhi na kuahidi kutekeleza maagizo ya serikali.
Wimbo huo ulipigwa marufuku na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ambayo ilisema "maudhui ya utengenezwaji wa video ya wimbo huo “haiendani na maadili ya Mtanzania.”
Mamlaka hiyo ilisema kazi hiyo inadhalilisha tasnia ya muziki.
Serikali ilipiga marufuku maonyesho yote ya hadhara ya Snura hadi pale atakapokamilisha usajili wa kazi zake za Sanaa katika Baraza la Sanaa la Taifa (Basata).
SnuraAkizungumza na wanahabari akiwa ameandamana na meneja wake, Snura amesema amechukua hatua na kusajiliwa rasmi kwa ajili ya shughuli za kisanii.

Related Posts:

  • Where Is God in the Midst of All My Troubles? By J. Budziszewski Trouble suffocates me. Worry entangles me. By night I can't sleep, by day I can't rest. The burden of suffering is intolerable. Where is God? Does He know, or are my prayers heard only by the wall? Is … Read More
  • I Learned to Read the Bible Through Tears Article by  Vaneetha Rendall Risner Regular Contributor I can scarcely read the story of Rachel and Leah without crying. Years ago, someone referred to me as a “Leah” — unloved, yet noble. “God blessed and honor… Read More
  • What Kind of Heart Does Christ Deserve? “In the beginning was the Word, and the Word was with God, and the Word was God.” (John 1:1). “And the Word became flesh and dwelt among us, and we have seen his glory, glory as of the only Son from the Father, full of gra… Read More
  • Where Does God Want Me to Work? How do I find God’s will for my life? It’s always a pressing question on the college campus, and especially in our day of unprecedented options. Like never before, in an anomaly in world history, students loosened fro… Read More
  • Lord, Free Me from Pride Article by  Isaac Adams Pastor, Washington, DC The longer I am a Christian, the more I’m realizing that God’s commands — like the command to be humble — aren’t hard to find. They’re hard to obey. Obedience isn’t d… Read More