Recent Posts

PropellerAds

Monday, May 2, 2016

Vardy mchezaji bora wa mwaka Uingereza

Vardy
Mshambuliaji wa Leicester Jamie Vardy ametawazwa mchezaji soka bora wa mwaka na chama cha waandishi wa kandanda Uingereza.
Mshambuliaji huyo wa Uingereza alipata 36% ya kura zilizopigwa na wanahabari 290 na kuwashinda wenzake Riyad Mahrez na N'Golo Kante.
Vardy, 29, amefunga mabao 22 Ligi ya Premia msimu huu.
Aidha, alivunja rekodi kwa kufunga mabao kila mechi katika mechi 11 mtawalia.
Klabu yake inahitaji alama mbili pekee kushinda Ligi Kuu ya Uingereza lakini inaweza pia kutawazwa mabingwa iwapo Tottenham watashindwa kuwalaza Chelsea jioni.
Mahrez alishinda tuzo ya mchezaji bora wa mwaka ya PFA, ambayo mshindi hupigiwa kura na wachezaji soka ya kulipwa, mwezi jana.

Related Posts:

  • Jesus Died for More Than Your Decision I am not on a mission to add happy icing to the cake of your decision for Christ. I am on a mission to show you from Scripture that if all you have is a decision for Christ and no delight in Christ, you don’t have Christ. … Read More
  • Church Membership Has Left Me Relationally Jaded I would love to help Barb overcome the drift because it is a sinful drift even if an understandable one. The drift toward cynicism or anger or low-grade bitterness is wrong if for no other reason than it won’t solve her p… Read More
  • The Sovereign­ty of God There are no limits to God’s rule. This is part of what it means to be God. He is sovereign over the whole world, and everything that happens in it. He is never helpless, never frustrated, never at a loss. And in Christ, G… Read More
  • God Revealing Mysteries Daniel 2:28 Verse Concepts "However, there is a God in heaven who reveals mysteries, and He has made known to King Nebuchadnezzar what will take place in the latter days This was your dream and the visions in you… Read More
  • Possible with God   have other sheep that are not of this fold. I must bring them also, and they will listen to my voice.” (John 10:16) God has a people in every people group in the world. He will call them through the gospel with Cre… Read More